Recent content by DATAZ

  1. D

    Mwanafunzi wa Mwaka wa Kwanza UDOM adaiwa kutaka kujiua kisa wivu wa mapenzi

    Hivi UDOM Kuna nini na masuala ya Mapenzi Kila siku? Mbona hatusikii haya mambo UDSM, SAUT na kwingineko?
  2. D

    Ngono ni hitaji namba 3 kwa mwanamke. Lazima uanze kumpa haya mawili kwanza

    Unazungumzia wanawake toleo la zamani au ni hili toleo la kichina?
  3. D

    Paul Makonda amekutwa na nini? Kapoa ghafla!

    Huyu ana laana ya kumpiga Kofi Mzee Warioba
  4. D

    Mwananchi waomba radhi baada ya wananchi wengi kupiga kura ya kuridhishwa na Sera za Uchumi za Magufuli dhidi ya marais wengine

    Ni kweli vigezo havikuwa sahihi, sera za uchumi ni budi zipimwe kwa matokeo yake sio kwa malengo yake (dreams).
  5. D

    Umemtambua aliyekaa nyuma ya Harmonize?

    Inaonekana amejawa na mawazo sana!
  6. D

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    "Na wakiulizwa sababu ya wao kufanya hivyo watakuambia wanaume sio waaminifu lakini uhalisia ni kwamba wanafanya hivyo baada ya kuona wamekuwa na shimo zao na hii ndio sababu kubwa inayo pelekea wanawake kusagana ni ukubwa wa via vyao vy uzazi baada ya kuona mashine haziwatoshi lila mwanaume...
  7. D

    Kigwangala, kumsifia Rais sio uzalendo wa kwanza, nchi yetu ni Jamuhuri sio Ufalme

    Mbona alipokuwa Waziri alikuwa anatoa sifa hizo hizo kwa Magufuli
  8. D

    Ney wa Mitego kawatolea ngoma ''Kataa ndoa''

    Huyu anajitambulisha kwa namba 669 (kwa Hadaa ya 666). Bila Shaka anakataa NDOA na kikaribisha USHOGA
  9. D

    Ruge Mutahaba, Efrahim Kibonde, Gardner G. Team Kataa ndoa tuna la kujifunza kwenu, tutawaenzi daima

    Kibonde alikuwa na Mke. Hawa wengine walioa kwa muda, Umalaya ukawaharibu. Research Yako ni rubbish
  10. D

    Haya maji yanayong'arisha Wasanii ni yapi?

    Ray kigosi aliwahi kusema wanakunywa maji mengi sana kubadili rangi ya ngozi, ni Maji haya ni yapi?
Back
Top Bottom