Ukitafakali kauli hii ya aliyekuwa katibu mkuu wa CHADEMA Dr Vincent Mashinji inaleta picha na tafakuli kubwa kama sio attention kwa watu wenye akili timamu inawezekana kuwa mambo hayakuwa mazuri kipindi chote cha mchakato wa uchaguzi ama mambo yalikuwa shwari tu but all in all ukweli anaujua...
Wote tumesikia kuwa dr Mashinji ameenguliwa katika nafasi yake ya ukatibu mkuu na badala yake hiyo nasafi amezawadiwa mbunge wa kibamba John Mnyika, kulikon mbona Mashinji ametumbuliwa gafla hivyo nini sababu?
Kwa habari za ndani ya CHADEMA zinaeleza kuwa Mbowe alikuapatani na Mashinji kutokana...
Hili swala la wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam kucheleweshewa fedha zao za mikopo ni swala nyeti na mtambuka, busara inahitajika katika kuliendea jambo hili pasina kuleta sintafahamy yoyote kwa jamii. Cha kusikitisha hili swala baadhi ya viongozi wa upinzan wameshaona ndo agenda yao na...
Kuelekea uchaguzi wa mwenyekiti wa Taifa CHADEMA leo pale mliman city, hautakiw hata uwe umesoma Rocket Scince kujua nani ataibuka mshindi wa kinyanganyiro hicho kati ya Freeman Mbowe na Cecil Mwambe. Mshindi ameshajulikan mapema sana kinachofanyika ni kukamilisha ratiba tu.
Kama kamati ya...
Ukiangalia kinachoendelea huko kwenye mitando ya kijamii ni kutoleana kinachoitwa siri za vijana wa upinzani wenyewe kwa wenyewe na kutana wasaliti mala majasusi uchwara kila aina ya kejeli sababu ni nini?
Wale wote waliokuwa wakiitana makamanda na kusifiana leo hawapo tena pamoja Prof. Safari...
Mwanza. Rais wa Tanzania, John Magufuli amesema kazi ya urais ni ngumu na ataondoka madarakani baada ya muda wake wa uongozi kumalizika.
Rais Magufuli ameyasema hayo leo Ijumaa Desemba 13, 2019 wakati akiongoza mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM uliofanyika jijini Mwanza.
Taarifa iliyotolewa na...
Ukiangalia muundo wa Chama cha Mapinduzi ulivyo kuanzia chini kwenye shina hadi Taifa utaona kuwa hawa jamaa wapo well organised na wanajua wanachofanya na kukitafuta tofauti na vyama vingine vya siasa.
Ukianzia namna mchakato wa kuwapa viongozi wao wa shina, kata hadi taifa utaona ni wa wazi...
Demokrasia ya vyama vyetu vya upinzani hapa kwetu inatia mashaka sana maana vyote vimekuwa vinahubiri yale wasiotenda wala kuyafanya katika vyama vyao.
Vingine tena vimekuwa sio tena vyama vya upinzani bali vyama vya kiharakati maana wameshindwa kutofautisha ule mstari unawagawa kati yao...
Wanafunzi 701,038 sawa na asilimia 92.27 waliomaliza darasa la saba mwaka 2019 wamechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza, Waziri wa Tamisemi Selemani Jafo amesema #MwananchiUpdate
Hongera kwa watoto waliochaguliwa kuendelea na masom ya secondary, hongera kwa walimu walio wafundisha watoto wetu.
Wote tumemsikia aliyepata kuwa waziri mkuu wa Tanzania kwa kipindi cha miaka 10 mfululizo, akiongea na waandishi wa habari mzee wetu Fredrick Sumaye ameongea mengi na kwa hisia zilizo changanyikana na machungu ndani yake.
Sumaye ametangaza kujiondoa kutoka chama kikuu hicho cha upinzani nchini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.