DAT BOY SU
Member
- Nov 15, 2017
- 29
- 30
Wanafunzi 701,038 sawa na asilimia 92.27 waliomaliza darasa la saba mwaka 2019 wamechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza, Waziri wa Tamisemi Selemani Jafo amesema #MwananchiUpdate
Hongera kwa watoto waliochaguliwa kuendelea na masom ya secondary, hongera kwa walimu walio wafundisha watoto wetu.
Hongera kwa watoto waliochaguliwa kuendelea na masom ya secondary, hongera kwa walimu walio wafundisha watoto wetu.