Recent content by dasi besi

  1. dasi besi

    Nahitaji kufunga solar system nyumbani

    Ngoja niendelee kusoma hapa nna mpango huu pia Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
  2. dasi besi

    Mwenye kuifahamu Honda Crossroad

    mkuu vip chuma ilifika, tupe mrejesho kidogo
  3. dasi besi

    Mwenye kuifahamu Honda Crossroad

    Fanya kitu mkuu 0759146895 Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
  4. dasi besi

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Nna hii lakini mi ni learner kabisa kwenye anga hizi na si mtalamu wa computer but natamani hili game, anaeweza kunielekeza step by step nipate huu mzigo asanteni
  5. dasi besi

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari, nnapata message iyo napojaribu kununua umeme. Nimepiga simu zaid ya mara 20 haipokelewi
  6. dasi besi

    Tusaidiane hili la PPF, NSSSF na NSSF

    yeah michango haikuhamishwa, sijafuatilia kutokana na shughuli zangu ni za kukaa porini muda mrefu ila next month natarajia kufatilia
  7. dasi besi

    Tusaidiane hili la PPF, NSSSF na NSSF

    michango haijahama nadhani ni swala la kufuatilia uko nssf si la muajilri.
  8. dasi besi

    Najuta kujenga kibanda changu uswahilini. Mswahili ni mtu duni sana

    Kwamba utaki Allien kwako, haki nimecheka hatari
  9. dasi besi

    Hivi huwezi piga rangi gari bila kupiga puti?

    Mkuu nsaidie hapo kwenye rangi kutokana na namba ya gari naitaji kunyoosha gari yangu iligonga
  10. dasi besi

    Hivi huwezi piga rangi gari bila kupiga puti?

    Sijisifii sijaona tofauti kwa sababu tulinunua rangi kutokana na namba ya rangi ya gari kwa wahindi.. Naomba kujua apo maana nataka kunyoosha yangu imebondeka sehem
  11. dasi besi

    Naomba ufafanuzi kuhusu usajili wa plate number za magari

    mkuu unaweza kutufafanulia kwenye hilo kwanini bandarini isiwezekane na showroom iwezekane?
  12. dasi besi

    MUONGOZO: Mambo ya kuzingatia unaponunua gari lililotumika ndani ya Tanzania

    Ningependa kujua hapo kwenye services za kufanya ni zipi hasa, nmeagiza na next month ntaifata dar ntashukuru kwa msaada wako Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom