Mikia egesha kalio mdungwe sindano..Morrison hana mkataba na mikia ili uwe mkataba lazima pande mbili na mashahidi wasign ..Jana nimemsikia Magori anadai Yanga wamepata wapi huo mkataba..mikataba yote ya wachezaji inaonekana kwenye TMS...hata Mwamedi hana mkataba na mikia mnapigwa
Sheria mpaka ukweli upatikane..katolewa kijijini Ghana sio Accra...Nenda Facebook ya Bin Zubery ameuweka mkataba viongozi wa Simba hawajaweka hata majina yao nini sahihi..litakufa jitu
Biashara Simba B tu..Lile libeki lao linapasia adui..ukimuona Chama anacheza sana jua mechi ya mipango..derby mbili za VPL msimu uliopita alifanya nini..FA mipango kashine...mechi zote za away CAF anaboronga ukitoa ile ya wale maiti kutoka Uswatini..
Nasikia Mwamedi kakataa kuchangia kampeni za CCM..Hamisi katumwa anaenda kupewa money laundry ya hatari..mikia kazi mnayo maana tajiri aliyebakia anayependa mikia ni Bakhresa tu na ana timu yake..usimcheke mamba kabla hujavuka mto..mko tayari kwa kupitisha makapu ?
The Kappa Real Betis 20-21 third football shirt introduces a bold design in two shades of grey, separated by a diagonal green line that depicts the Guadalquivir river, which is also known as Baetis or Betis and which the club is named after.....Mikia jifunzeni ubunifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.