Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,453
- 27,099
Salaam Wananchi,
Kwa Masikitiko makubwa Mimi nikiwa Yanga kindakindaki sikubaliani na hili, Yani Simba watengenezewe Jezi halafu sisi tutengenezewe Vijora?
Kwa Vijora hivi sisi hatukubaliani na GSM kabisa.
Ona sasa Watani zetu wameshatupatia a.k.a mpya wanatuita VIJORA FC.
GSM munatukwaza.
Kwa Masikitiko makubwa Mimi nikiwa Yanga kindakindaki sikubaliani na hili, Yani Simba watengenezewe Jezi halafu sisi tutengenezewe Vijora?
Kwa Vijora hivi sisi hatukubaliani na GSM kabisa.
Ona sasa Watani zetu wameshatupatia a.k.a mpya wanatuita VIJORA FC.
GSM munatukwaza.