Ni muda muafaka kujitoa humu jamii forum kuna watu wanaolalamika wavivu wajinga.....nisije nikaingia katika kundi hili hawa ni wajinga toka darasani ....foools
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Kweli humu hamna watu wenye akili....hotuba ya raisi ipimeni na mchkue hatua kila mmoja....hili serikali yeyoye haiwezi alone...sasa ni mimi wewe tunawakilisha vp kwa ndugu zetu na jamii inayotuzunguka huo ndio utaifa.....hizo chuki binafsi hazitatupeleka popote...tuache ujinga...na waelimisheni...
Acheni ujima ...hao erolink ndio mfumo wa sasa duniani...mnataka mpaka mfagiaji aajiriwe...hebu tuacheni siasa mbona hamlalamikk ndugu zenu wanaopiga box ulaya miaka 30 bila ajira permanent.....hahahahah...duh tatizo hao wadogo zenu ni failures ...wame feli feli wee mpaka hapo ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.