Recent content by Darren2019

  1. Darren2019

    Nimelipwa deni langu Tsh. Milioni 1.3 baada ya miezi 6. Nifanye uwekezaji gani?

    1. Ingia google 2. Download App ya Sportybet 3. Jisajili kwa kuweka namba ya simu 4. Weka milioni 1 kwenye hiyo akaunti. 5. Subiri jumamosi nkutengenezee odd 3 hadi 5 afu uweke hiyo milion.
  2. Darren2019

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Duh! Hilo ni treni mkuu[emoji1]
  3. Darren2019

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu nataka odd 6 tu niweke 30k, jana Newcastle kanichakaza vibaya[emoji849]
  4. Darren2019

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tuchukue tahadhari hata Madrid na Barca wanaweza kutuangusha baadaye[emoji849]
  5. Darren2019

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu nawaza kutoa hivi, 1. PSG vz Barca -GG 2. Atletico vs Dortmund -GG 3. West Bromwich vs Rotherham - Over 1.5 Home team. Nataka odd 3 tu nitie 30k, mtazamo wenu ndg maafisa ubashiri.
  6. Darren2019

    Nini husababisha jasho jingi kwa watoto?

    Umenisemea ndg yaani mke wangu anasumbuliwa na hili jambo, anaweza kutoka bafuni hajapaka mafuta ashalowa jasho, kwenye kula ndo utamwonea huruma, na hapo yuko Arusha sa sijui siku akienda Dar[emoji849]
  7. Darren2019

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sikio la kufa mkuu[emoji848]
  8. Darren2019

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Naiwazia hiyo PSV[emoji19]
  9. Darren2019

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ajax uwe unampa magoli, either GG au over 1.5 peke yake, hajawahi kuniangusha mimi.
  10. Darren2019

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wazee hapa natoboa kweli?
  11. Darren2019

    Kitu gani watu wananunua kwa pesa nyingi kwa lengo la kupata STATUS?

    Mimi nikinunua simu ya milioni moja ni fedha nyingi ila Mwigulu akinunua simu ya milioni tatu ni pesa za kawaida tu ko hakuna swali hapo, kila mtu aishi kwa kiwango chake.
  12. Darren2019

    Mgao huu wa umeme ni mkali mno

    Hapo ujue watoto wa mjini washatupiga hapo mkuu[emoji849]
  13. Darren2019

    Mgao huu wa umeme ni mkali mno

    Karatu ipi mkuu mbona Rhotia hakuna mara nyingi? Hata sasa haujarudi tangu saa 1 asubuhi.
  14. Darren2019

    Mgao huu wa umeme ni mkali mno

    Hiki kikundi kimekwama mkuu.
  15. Darren2019

    Mgao huu wa umeme ni mkali mno

    TANESCO angalieni hili jambo, hivi kweli mwaka huu jua limewaja lini hadi maji yakapungua kiasi cha kupunguza uzalishaji kwa kiwango hiki? Serikali inahubiri maendeleo huku haina umeme wa uhakika, hizi ni ndoto. Mtaani kwangu umeme unakatwa saa 1 asubuhi hadi saa 2 usiku, sijui hizo line zenu...
Back
Top Bottom