1. Ingia google
2. Download App ya Sportybet
3. Jisajili kwa kuweka namba ya simu
4. Weka milioni 1 kwenye hiyo akaunti.
5. Subiri jumamosi nkutengenezee odd 3 hadi 5 afu uweke hiyo milion.
Wakuu nawaza kutoa hivi,
1. PSG vz Barca -GG
2. Atletico vs Dortmund -GG
3. West Bromwich vs Rotherham - Over 1.5 Home team.
Nataka odd 3 tu nitie 30k, mtazamo wenu ndg maafisa ubashiri.
Umenisemea ndg yaani mke wangu anasumbuliwa na hili jambo, anaweza kutoka bafuni hajapaka mafuta ashalowa jasho, kwenye kula ndo utamwonea huruma, na hapo yuko Arusha sa sijui siku akienda Dar[emoji849]
Mimi nikinunua simu ya milioni moja ni fedha nyingi ila Mwigulu akinunua simu ya milioni tatu ni pesa za kawaida tu ko hakuna swali hapo, kila mtu aishi kwa kiwango chake.
TANESCO angalieni hili jambo, hivi kweli mwaka huu jua limewaja lini hadi maji yakapungua kiasi cha kupunguza uzalishaji kwa kiwango hiki?
Serikali inahubiri maendeleo huku haina umeme wa uhakika, hizi ni ndoto.
Mtaani kwangu umeme unakatwa saa 1 asubuhi hadi saa 2 usiku, sijui hizo line zenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.