Mgao huu wa umeme ni mkali mno

Darren2019

JF-Expert Member
Nov 23, 2019
1,112
2,379
TANESCO angalieni hili jambo, hivi kweli mwaka huu jua limewaja lini hadi maji yakapungua kiasi cha kupunguza uzalishaji kwa kiwango hiki?

Serikali inahubiri maendeleo huku haina umeme wa uhakika, hizi ni ndoto.

Mtaani kwangu umeme unakatwa saa 1 asubuhi hadi saa 2 usiku, sijui hizo line zenu wadau
 





Leo Biteko amenukuliwa akizungumzia uwepo wa mgao hii ni hatua kwa kukubali uwepo wa tatizo.

Akina Maharage bado wameshupaza shingo tu na porojo za Makamba.

 
Maharage yamechacha...🤣
Alafu naskia kuna mtu alifukuzwa kwa aibu pale meza kuu, eti akashughulikie umeme..😜
 
TANESCO angalieni hili jambo, hivi kweli mwaka huu jua limewaja lini hadi maji yakapungua kiasi cha kupunguza uzalishaji kwa kiwango hiki?

Serikali inahubiri maendeleo huku haina umeme wa uhakika, hizi ni ndoto.

Mtaani kwangu umeme unakatwa saa 1 asubuhi hadi saa 2 usiku, sijui hizo line zenu wadau
RAIS SAMIA ANAFAA KUKEMEWA SANA NA WAZALENDO.
 
Back
Top Bottom