Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,379
TANESCO angalieni hili jambo, hivi kweli mwaka huu jua limewaja lini hadi maji yakapungua kiasi cha kupunguza uzalishaji kwa kiwango hiki?
Serikali inahubiri maendeleo huku haina umeme wa uhakika, hizi ni ndoto.
Mtaani kwangu umeme unakatwa saa 1 asubuhi hadi saa 2 usiku, sijui hizo line zenu wadau
Serikali inahubiri maendeleo huku haina umeme wa uhakika, hizi ni ndoto.
Mtaani kwangu umeme unakatwa saa 1 asubuhi hadi saa 2 usiku, sijui hizo line zenu wadau