Ukitaka uone uwezo wako wa kufikiri ulivyo kwenye hii post kila ukimtaja mwanamke unasema takataka, ng’ombe.
Una shida, please seek help na uache kushindana na wanawake,
Jiamini kuwa unaweza na sio kudogodisha wanawake ili uonekane una uwezo😅
It hurts
Yooo
Mwanamke ana dhamana ya kufanya maisha ya ndoa yastawi?? Ila mwanaume hana hiyo dhamana?
Mnataka peace kwenye ndoa ambayo tafakari yake ni wanaume ku cheat na kufanya ushenzi ila mwanamke ni kuvumilia na kusema ndio baba??
Ukweli ni kwamba mwanamke ni kiumbe mwenye nguvu sana ndio maana Mwenyezi...
This is very true
Watu wanakutana kimjini mjini wanaoana kimjini mjini, wanaishia kubeba generational curses za watu hadi kwenye vizazi vyao
Mungu atusaidie tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.