Recent content by Darlin

  1. Darlin

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hadi muda huu hotuba ya Samia kesho na wazee wa CCM Dar December 2 imeshaharibika. Gen Z watibua kila kitu

    Shoga yangu pumzika kidogo Unaruka huku na kule kama bisi za makumbusho, wakupe ubalozi hata ukapumzike maana sio kwa mihangaiko hii
  2. Darlin

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Nikiongea mengi kuhusu Kapteni Tesha nitaharibu. Jueni yuko Uraiani nje ya nchi

    Angekua mwanamke ningemuelewa, ila mwanaume aiseee🙌 Aah tumekwisha aiseeee, hapo akipewa kaviete si anachora tattoo ya boss wake mwili mzima
  3. Darlin

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Nikiongea mengi kuhusu Kapteni Tesha nitaharibu. Jueni yuko Uraiani nje ya nchi

    Sasa mimi nimeingiaje hapo mkuu?
  4. Darlin

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Nikiongea mengi kuhusu Kapteni Tesha nitaharibu. Jueni yuko Uraiani nje ya nchi

    Sijui kahaidiwa ukuu wa wilaya gani Yarabi😂😂😂yeye na mwashambwa tofauti hakuna
  5. Darlin

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Nikiongea mengi kuhusu Kapteni Tesha nitaharibu. Jueni yuko Uraiani nje ya nchi

    Hawezi kua straight huyo Mungu atusaidie tuu
  6. Darlin

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

    Kweli mjinga wewe
  7. Darlin

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baadhi ya vigezo vya kuzingatia unapochagua mchumba

    This is very true Watu wanakutana kimjini mjini wanaoana kimjini mjini, wanaishia kubeba generational curses za watu hadi kwenye vizazi vyao Mungu atusaidie tuu
  8. Darlin

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Fungueni vyuo, leteni wanafunzi bandia, Vijana tunahitaji kukusanyika. Lazima tuelewane

    She is too rude🙌 Ni mwanamke kweli?
  9. Darlin

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi Bila Majaribio ni Hatari

    Salama sana, Mungu mwema
  10. Darlin

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi Bila Majaribio ni Hatari

    Upo ndugu yangu?
  11. Darlin

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi Bila Majaribio ni Hatari

    Usioe mkuu, sio basic need hiyo
  12. Darlin

    JamiiForums Tanzania GE2025 Fact: Samia ndiye Rais wa JMT!, Uwe ulimchagua, hukumchagua, hukupiga Kura, uko Tanzania au Ughaibuni, unamtambua, humtambui, SSH ndiye Rais wako!

    Umekula kwanza ukashiba kabla ya kuandika haya maandishi ulioandika? Au umeandika ndio utafute chakula?
  13. Darlin

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hakuna Scam kubwa hii dunia kama kuoa Mwanamke eti kisa kasoma chuo au ameajiriwa ili msaidiane majukumu ya ndani na mfanye maendeleo

    Hii inatakiwa i printiwe ibandikwe kila ofisi.
Back
Top Bottom