Recent content by Darlin

  1. Darlin

    JamiiForums Tanzania Wanawake kwa hizi akili, Mna haki ya kupigwa matukio

    Ukitaka uone uwezo wako wa kufikiri ulivyo kwenye hii post kila ukimtaja mwanamke unasema takataka, ng’ombe. Una shida, please seek help na uache kushindana na wanawake, Jiamini kuwa unaweza na sio kudogodisha wanawake ili uonekane una uwezo😅 It hurts Yooo
  2. Darlin

    JamiiForums Tanzania Wanawake kwa hizi akili, Mna haki ya kupigwa matukio

    Mwanamke ana dhamana ya kufanya maisha ya ndoa yastawi?? Ila mwanaume hana hiyo dhamana? Mnataka peace kwenye ndoa ambayo tafakari yake ni wanaume ku cheat na kufanya ushenzi ila mwanamke ni kuvumilia na kusema ndio baba?? Ukweli ni kwamba mwanamke ni kiumbe mwenye nguvu sana ndio maana Mwenyezi...
  3. Darlin

    JamiiForums Tanzania Wanawake kwa hizi akili, Mna haki ya kupigwa matukio

    Abarikiwe mama aliekuzaa mkuu😍 Umebariki sana asubuhi yangu.
  4. Darlin

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hadi muda huu hotuba ya Samia kesho na wazee wa CCM Dar December 2 imeshaharibika. Gen Z watibua kila kitu

    Shoga yangu pumzika kidogo Unaruka huku na kule kama bisi za makumbusho, wakupe ubalozi hata ukapumzike maana sio kwa mihangaiko hii
  5. Darlin

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Nikiongea mengi kuhusu Kapteni Tesha nitaharibu. Jueni yuko Uraiani nje ya nchi

    Angekua mwanamke ningemuelewa, ila mwanaume aiseee🙌 Aah tumekwisha aiseeee, hapo akipewa kaviete si anachora tattoo ya boss wake mwili mzima
  6. Darlin

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Nikiongea mengi kuhusu Kapteni Tesha nitaharibu. Jueni yuko Uraiani nje ya nchi

    Sasa mimi nimeingiaje hapo mkuu?
  7. Darlin

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Nikiongea mengi kuhusu Kapteni Tesha nitaharibu. Jueni yuko Uraiani nje ya nchi

    Sijui kahaidiwa ukuu wa wilaya gani Yarabi😂😂😂yeye na mwashambwa tofauti hakuna
  8. Darlin

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Nikiongea mengi kuhusu Kapteni Tesha nitaharibu. Jueni yuko Uraiani nje ya nchi

    Hawezi kua straight huyo Mungu atusaidie tuu
  9. Darlin

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kesho Dar watu wana jambo lao

    Kweli mjinga wewe
  10. Darlin

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya vigezo vya kuzingatia unapochagua mchumba

    This is very true Watu wanakutana kimjini mjini wanaoana kimjini mjini, wanaishia kubeba generational curses za watu hadi kwenye vizazi vyao Mungu atusaidie tuu
  11. Darlin

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Fungueni vyuo, leteni wanafunzi bandia, Vijana tunahitaji kukusanyika. Lazima tuelewane

    She is too rude🙌 Ni mwanamke kweli?
  12. Darlin

    JamiiForums Tanzania Mpenzi Bila Majaribio ni Hatari

    Salama sana, Mungu mwema
  13. Darlin

    JamiiForums Tanzania Mpenzi Bila Majaribio ni Hatari

    Upo ndugu yangu?
Back
Top Bottom