Recent content by Daren

  1. Daren

    Azania Sec. School (SPECIAL THREAD)

    Kuna arusha school ya 1932
  2. Daren

    Natafuta kazi yoyote ya halali, niko Arusha

    Tatizo sina pesa ya ada
  3. Daren

    Natafuta kazi yoyote ya halali, niko Arusha

    Habari ndugu zangu. Mimi ni kijana (ME) nina umri wa miaka 20. Ninaishi mkoa wa Arusha. Nina shida sana hali ngumu ya maisha Hadi naanza kuta tamaa . Nimeona niweke wazi tu huenda kuna mtu humu atanisaidia kupata kazi yoyote ile ya halali. Natanguliza shukrani
Back
Top Bottom