Recent content by darcity

  1. darcity

    Magazeti ya nje yanamwandika vibaya yeye wala hashtuki

    Sema magazeti na watu wa Kenya sio dunia
  2. darcity

    PostGE2025 Mbali na kesi ya Uhaini, Dkt. Malisa afunguliwa pia kesi ya Jinai ya Makosa ya Kimtandao

    SIasa za ubaguzi za Chagadema sio nzuri bibie. Kipindi cha. 1. Kikwete - Mkashambulia Wapwani na Waislam 2. Magufuli - Mkatukana Wasukuma 3. Samia - Mnazungumzia uzanziabar na udini
  3. darcity

    PostGE2025 Mbali na kesi ya Uhaini, Dkt. Malisa afunguliwa pia kesi ya Jinai ya Makosa ya Kimtandao

    Ni wakati wa kuamka na kujua nyakati hazirudi nyuma. Inahitaji ubunifu zaidi kuliko kulemezwa na siasa zisizotabirika
  4. darcity

    Ili kuokoa uhai, mwanadamu huwa tayari kutoa chochote, kama italazimu, watanzania tutoe chochote kuwaondoa wauaji ili kuokoa uhai wetu

    Mnachochea watu wapambane na vyombo vya usalama alafu nyinyi mpo majumbani kwenu na familia zenu mkisubiria matokeo kwa ajili ya matumbo yenu. Pumbavu! Toka ukaandamane
  5. darcity

    Yupo wapi Abdulhalim Hafidhi Ameir?

    Mwinyi na Nyerere Chadema haikuwepo. Magufuli aliwabana
  6. darcity

    PostGE2025 Mbali na kesi ya Uhaini, Dkt. Malisa afunguliwa pia kesi ya Jinai ya Makosa ya Kimtandao

    SIasa za ChAdEma zimewarudisha nyuma sana Wachaga. Ule umahiri wa biashara na ujasiriamali unapotea unaenda kwa Waha na Wakinga. Ule upekee wa usomi uliokuwepo kutokana na msingi ya uchumi wa Kikoloni wao na Wahaya haupo tena, shule za kata zinatoa msomi wa shahada na chuo kikuu kila...
  7. darcity

    Yupo wapi Abdulhalim Hafidhi Ameir?

    ChaDema wana mbinu za kijinga sana kusingizia na ku -atack familia za Marais. Walianza na Ridhiwan Kikwete kumiliki kila jengo kila wilaya na kila mkoa na kila kituo cha mafuta, sasa hivi wameamia kwa Abdul! Wakawapata vijana wasio na uzoefu na propaganda zao za udanganyifu, wakawaingiza kwenye...
  8. darcity

    PostGE2025 Wasanii waanza kutia huruma baada ya Godbless Lema kushauri njia ya kudili na wote wasiosimama pamoja na wananchi, wadai wao siyo chanzo cha shida zao

    Siasa za ChadEMA ni uchochezi, ugawanyo,visasi na chuki. Wamewauza na kulaghai watoto na vijana wasio na experience yoyote ya ulaghai na siasa kupambana na dola kisha wanatumia madhira yao kujinufaisha kisiasa. Maanguko ya vijana na watu wasiowaunga mkono kwenye itikadi zao wao ni furaha...
  9. darcity

    Gen Z Oktoba 29 tulifanya kosa kubwa

    Upuuzi wa ChaDema
  10. darcity

    PostGE2025 Gen Z Tanganyika: Phase ya kwanza ilikuwa wasanii, wameshamalizana nao

    Siasa za CdM zina chuki, visasi, kuleta mgawanyiko, dhaifu na huwa wanafuraha kuona wengine wenye mtazamo tofauti wa kisiasa au kidini ni wanapata madhara au kuumia. Too sad! Mtu mzima over 50+ kufurahia kuporomoka kwa vijana wanaotafuta ridhiki yao kupitia sanaa. Walikuwepo kabla wataendelea...
  11. darcity

    Kumbe na Samia Suluhu akifiwa inamuuma, au anajifanyisha kuumia?

    Uzi umekaa ki dada mange sana
  12. darcity

    Kamba za Polepole: Kama Membe alipatikana na hatia za kupanga kumuua Magufuli, kwanini hakushtakiwa kwa kosa la jinai, akafukuzwa tu CCM?

    Sukuma push, Pole pole na wahuni wenzake walikuwa wanataka kuvunja katiba wamuweke mtu wao. Tunashukuru aliyekuwa Mkuu wa majeshi, Mabeyo kwa kusimamia smooth transition. Jakaya alivunja huo mtandao wa akina Lowassa na Rostam mapema kwa kuwa alijua madhara yao. Rostam akakimbia nchi, Lowassa...
  13. darcity

    Nahisi wakati magufuli anakaribia kufariki alikuwa ametoa orders lakini watu flani walizizuia zisitekelezwe, ndio maana tulikuwa tunafichwa fichwa

    Sukuma push, Pole pole na wahuni wenzake walikuwa wanataka kuvunja katiba wamuweke mtu wao. Tunashukuru aliyekuwa Mkuu wa majeshi, Mabeyo kwa kusimamia smooth transition. Jakaya alivunja huo mtandao wa akina Lowassa na Rostam mapema kwa kuwa alijua madhara yao. Rostam akakimbia nchi, Lowassa...
Back
Top Bottom