Recent content by darcity

  1. darcity

    JamiiForums Tanzania Mbowe hakuwahi kwenda hata mara moja kumjulia hali Mwenyekiti wake Lissu ila ameenda Zanzibar kumpa pole Samia , hii imekaaje?

    Lisau hana nidhamu, hekima na busara za Mbowe ndio ziliomfanya akae kimya
  2. darcity

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya kifo cha member wa Jamii Forum

    Rest in peace Mwamba! Joined since 2010!
  3. darcity

    JamiiForums Tanzania ID zenu nyingine tunazijua

    Too much politics can be stressful and frustrating, especially when things do not go the way you hope. Likewise, excessive engagement on JF can create the illusion that you are widely known or influential. The reality is that only a small number of people know about JF or even have it on their...
  4. darcity

    JamiiForums Tanzania Tutaendelea kudai uhuru wa Nchimbi kama tunavyodai uhuru wa Polepole na Tundu Lissu

    Wafuasi wa CDM wamepata Confusion....CDM au CCM!
  5. darcity

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania chini ya Samia, imewakabidhi DRC Mwanaharakati Denise Dusauchoy ili akanyongwe. Ni mkosoaji wa Felix Tshisekedi

    Atakuwa alileta maelekezo kwa CDM toka kwa mabwana zao wazungu
  6. darcity

    JamiiForums Tanzania ATCL Yasitisha Kwa Muda Safari za Ndege TC422 na TC423 Dar es Salaam–Moscow

    Chief, Katika vita tunaangalia Conflict Intensity Levels ndio inafanyika maamuzi. i, Hatari ya chini - Kunakuwa na mivutano na mapigano machache; raia na miundombinu muhimu bado vinafanya kazi kwa kiasi kikubwa. kunakuwa na low risk. ii. Hatari ya wastani – inakuwa na...
  7. darcity

    JamiiForums Tanzania ATCL Yasitisha Kwa Muda Safari za Ndege TC422 na TC423 Dar es Salaam–Moscow

    Baadhi ya Wafuasi wa CDM huwa wanashindwa kufanya uchanganuzi wanaishia kutoa maoni ya kihisia kuliko kujenga hoja. Ni dhahiri anga la Urusi si salama kwa sasa kwa kile kinachoendelea.
  8. darcity

    JamiiForums Tanzania ATCL Yasitisha Kwa Muda Safari za Ndege TC422 na TC423 Dar es Salaam–Moscow

    Tusi au neno pendwa la wafuasi wa ChADEMA wanaposhinwa kujenga hoja ua kufikiri kwa kina.
  9. darcity

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Barua ya Nchimbi ilifichwa

    Cha kufurahisha taarifa hii inaandikwa na mfuasi wa CDM
  10. darcity

    JamiiForums Tanzania Angalia Rais makatili waliowahi kutokea Africa

    ......kwa style yenu ya kutukana, kuzusha habari za uongo. kuchochea machafuko na kuvunja amani, udini, ukabila, ukanda na kutumika na mabeberu kupitisha ajenda zao kwa kisingizio cha demokrasi kila Rais wa Tanzania atakayekuja mtamuita mkatili. Jakaya tu ndiye aliyekuwa mstaarabu. Mark my words.
  11. darcity

    JamiiForums Tanzania Malisa: Polisi hawajatuachia kwa dhamana kama walivyosema, wala sijahojiwa kwa tuhuma za jinai

    Kutafuta bifu na vyombo vya dola kwa kutegemea upate public sympath na back up ya wazungu ni ujinga
  12. darcity

    JamiiForums Tanzania Uwanja wa Julius Nyerere washinda tuzo ya uwanja bora wa ndege

    Kazi mzuri ya Serikali
  13. darcity

    JamiiForums Tanzania Malisa akamatwa na Polisi, Namanga na kupelekwa kusikojulikana

    Yupo kwenye process ya kwenda mahakamani
Back
Top Bottom