Too much politics can be stressful and frustrating, especially when things do not go the way you hope. Likewise, excessive engagement on JF can create the illusion that you are widely known or influential. The reality is that only a small number of people know about JF or even have it on their...
Chief, Katika vita tunaangalia Conflict Intensity Levels ndio inafanyika maamuzi.
i, Hatari ya chini - Kunakuwa na mivutano na mapigano machache; raia na miundombinu muhimu bado vinafanya kazi kwa kiasi kikubwa. kunakuwa na low risk.
ii. Hatari ya wastani – inakuwa na...
Baadhi ya Wafuasi wa CDM huwa wanashindwa kufanya uchanganuzi wanaishia kutoa maoni ya kihisia kuliko kujenga hoja. Ni dhahiri anga la Urusi si salama kwa sasa kwa kile kinachoendelea.
......kwa style yenu ya kutukana, kuzusha habari za uongo. kuchochea machafuko na kuvunja amani, udini, ukabila, ukanda na kutumika na mabeberu kupitisha ajenda zao kwa kisingizio cha demokrasi kila Rais wa Tanzania atakayekuja mtamuita mkatili. Jakaya tu ndiye aliyekuwa mstaarabu.
Mark my words.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.