Recent content by darcity

  1. darcity

    JamiiForums Tanzania Yakuzomewa na ya Jumuiya ya Madola, Yamewaacha Machawa ,CCM na Wahuni wasijue waendelee kumchafua HECHE au wajikite na Vibano hivo

    Sawa Mangi.....ila hii haitochelewa kwenda kaburini.
  2. darcity

    JamiiForums Tanzania Clouds acheni kutumika kumchafua Heche

    Kwa nini hamtaki achunguzwe?
  3. darcity

    JamiiForums Tanzania Yakuzomewa na ya Jumuiya ya Madola, Yamewaacha Machawa ,CCM na Wahuni wasijue waendelee kumchafua HECHE au wajikite na Vibano hivo

    ChaDEMA ya Mbowe ilikuwa imara kuliko hii ya Mange, Rachel Dangwa, Nuru Vuzi na Heche.
  4. darcity

    JamiiForums Tanzania mseja wa JF ni mimi hamna mwingine!

    Nimerudi kuperuzi JF baada ya taktibani mwaka na nusu nakutana na huu usenge...mtoto wa kiume unajisifiaje ujinga!? Hutaki kutongoza, unasubiri utongozwe na wanaume wenzako? CHadeMa inaharibu sana watoto wa kiume! Habari zao kimange Mange na Kidangwa dangwa!
  5. darcity

    JamiiForums Tanzania Magazeti ya nje yanamwandika vibaya yeye wala hashtuki

    Sema magazeti na watu wa Kenya sio dunia
  6. darcity

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mbali na kesi ya Uhaini, Dkt. Malisa afunguliwa pia kesi ya Jinai ya Makosa ya Kimtandao

    SIasa za ubaguzi za Chagadema sio nzuri bibie. Kipindi cha. 1. Kikwete - Mkashambulia Wapwani na Waislam 2. Magufuli - Mkatukana Wasukuma 3. Samia - Mnazungumzia uzanziabar na udini
  7. darcity

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mbali na kesi ya Uhaini, Dkt. Malisa afunguliwa pia kesi ya Jinai ya Makosa ya Kimtandao

    Ni wakati wa kuamka na kujua nyakati hazirudi nyuma. Inahitaji ubunifu zaidi kuliko kulemezwa na siasa zisizotabirika
  8. darcity

    JamiiForums Tanzania Ili kuokoa uhai, mwanadamu huwa tayari kutoa chochote, kama italazimu, watanzania tutoe chochote kuwaondoa wauaji ili kuokoa uhai wetu

    Mnachochea watu wapambane na vyombo vya usalama alafu nyinyi mpo majumbani kwenu na familia zenu mkisubiria matokeo kwa ajili ya matumbo yenu. Pumbavu! Toka ukaandamane
  9. darcity

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi Abdulhalim Hafidhi Ameir?

    Mwinyi na Nyerere Chadema haikuwepo. Magufuli aliwabana
  10. darcity

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mbali na kesi ya Uhaini, Dkt. Malisa afunguliwa pia kesi ya Jinai ya Makosa ya Kimtandao

    SIasa za ChAdEma zimewarudisha nyuma sana Wachaga. Ule umahiri wa biashara na ujasiriamali unapotea unaenda kwa Waha na Wakinga. Ule upekee wa usomi uliokuwepo kutokana na msingi ya uchumi wa Kikoloni wao na Wahaya haupo tena, shule za kata zinatoa msomi wa shahada na chuo kikuu kila...
  11. darcity

    JamiiForums Tanzania Yupo wapi Abdulhalim Hafidhi Ameir?

    ChaDema wana mbinu za kijinga sana kusingizia na ku -atack familia za Marais. Walianza na Ridhiwan Kikwete kumiliki kila jengo kila wilaya na kila mkoa na kila kituo cha mafuta, sasa hivi wameamia kwa Abdul! Wakawapata vijana wasio na uzoefu na propaganda zao za udanganyifu, wakawaingiza kwenye...
  12. darcity

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Wasanii waanza kutia huruma baada ya Godbless Lema kushauri njia ya kudili na wote wasiosimama pamoja na wananchi, wadai wao siyo chanzo cha shida zao

    Siasa za ChadEMA ni uchochezi, ugawanyo,visasi na chuki. Wamewauza na kulaghai watoto na vijana wasio na experience yoyote ya ulaghai na siasa kupambana na dola kisha wanatumia madhira yao kujinufaisha kisiasa. Maanguko ya vijana na watu wasiowaunga mkono kwenye itikadi zao wao ni furaha...
Back
Top Bottom