Mnachochea watu wapambane na vyombo vya usalama alafu nyinyi mpo majumbani kwenu na familia zenu mkisubiria matokeo kwa ajili ya matumbo yenu. Pumbavu!
Toka ukaandamane
SIasa za ChAdEma zimewarudisha nyuma sana Wachaga. Ule umahiri wa biashara na ujasiriamali unapotea unaenda kwa Waha na Wakinga.
Ule upekee wa usomi uliokuwepo kutokana na msingi ya uchumi wa Kikoloni wao na Wahaya haupo tena, shule za kata zinatoa msomi wa shahada na chuo kikuu kila...
ChaDema wana mbinu za kijinga sana kusingizia na ku -atack familia za Marais. Walianza na Ridhiwan Kikwete kumiliki kila jengo kila wilaya na kila mkoa na kila kituo cha mafuta, sasa hivi wameamia kwa Abdul!
Wakawapata vijana wasio na uzoefu na propaganda zao za udanganyifu, wakawaingiza kwenye...
Siasa za ChadEMA ni uchochezi, ugawanyo,visasi na chuki. Wamewauza na kulaghai watoto na vijana wasio na experience yoyote ya ulaghai na siasa kupambana na dola kisha wanatumia madhira yao kujinufaisha kisiasa. Maanguko ya vijana na watu wasiowaunga mkono kwenye itikadi zao wao ni furaha...
Siasa za CdM zina chuki, visasi, kuleta mgawanyiko, dhaifu na huwa wanafuraha kuona wengine wenye mtazamo tofauti wa kisiasa au kidini ni wanapata madhara au kuumia. Too sad! Mtu mzima over 50+ kufurahia kuporomoka kwa vijana wanaotafuta ridhiki yao kupitia sanaa.
Walikuwepo kabla wataendelea...
Sukuma push, Pole pole na wahuni wenzake walikuwa wanataka kuvunja katiba wamuweke mtu wao. Tunashukuru aliyekuwa Mkuu wa majeshi, Mabeyo kwa kusimamia smooth transition.
Jakaya alivunja huo mtandao wa akina Lowassa na Rostam mapema kwa kuwa alijua madhara yao. Rostam akakimbia nchi, Lowassa...
Sukuma push, Pole pole na wahuni wenzake walikuwa wanataka kuvunja katiba wamuweke mtu wao. Tunashukuru aliyekuwa Mkuu wa majeshi, Mabeyo kwa kusimamia smooth transition.
Jakaya alivunja huo mtandao wa akina Lowassa na Rostam mapema kwa kuwa alijua madhara yao. Rostam akakimbia nchi, Lowassa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.