Nimerudi kuperuzi JF baada ya taktibani mwaka na nusu nakutana na huu usenge...mtoto wa kiume unajisifiaje ujinga!? Hutaki kutongoza, unasubiri utongozwe na wanaume wenzako?
CHadeMa inaharibu sana watoto wa kiume! Habari zao kimange Mange na Kidangwa dangwa!
Mnachochea watu wapambane na vyombo vya usalama alafu nyinyi mpo majumbani kwenu na familia zenu mkisubiria matokeo kwa ajili ya matumbo yenu. Pumbavu!
Toka ukaandamane
SIasa za ChAdEma zimewarudisha nyuma sana Wachaga. Ule umahiri wa biashara na ujasiriamali unapotea unaenda kwa Waha na Wakinga.
Ule upekee wa usomi uliokuwepo kutokana na msingi ya uchumi wa Kikoloni wao na Wahaya haupo tena, shule za kata zinatoa msomi wa shahada na chuo kikuu kila...
ChaDema wana mbinu za kijinga sana kusingizia na ku -atack familia za Marais. Walianza na Ridhiwan Kikwete kumiliki kila jengo kila wilaya na kila mkoa na kila kituo cha mafuta, sasa hivi wameamia kwa Abdul!
Wakawapata vijana wasio na uzoefu na propaganda zao za udanganyifu, wakawaingiza kwenye...
Siasa za ChadEMA ni uchochezi, ugawanyo,visasi na chuki. Wamewauza na kulaghai watoto na vijana wasio na experience yoyote ya ulaghai na siasa kupambana na dola kisha wanatumia madhira yao kujinufaisha kisiasa. Maanguko ya vijana na watu wasiowaunga mkono kwenye itikadi zao wao ni furaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.