Recent content by Daraja Makofia

  1. Daraja Makofia

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Death line and life line on 29 October ukumbusho wangu ni huu

    Nasikia mwingine alikuwa ni mdada.
  2. Daraja Makofia

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Death line and life line on 29 October ukumbusho wangu ni huu

    Hali hii ilinipata pia. Tarehe 30 nilitoka na bajaj maeneo ya Maili Mbili, Dodoma mpaka Uwanja wa Jamhuri ambapo dereva alisema anaishia hapo maana mjini hakuingiliki. Nilishuka na kuanza kutembea mpaka General Hospital ili nipate usafiri mwingine wa kufika Nzuguni. Nilikuwa nikitembea barabara...
  3. Daraja Makofia

    JamiiForums Tanzania Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) yatangaza kuifungia JamiiForums

    Ni rasmi sasa tumefungiwa. Mimi mwenyewe siwezi kuingia JF sasa! 😄 🤣 😂
  4. Daraja Makofia

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu Majaliwa: Madereva Serikali pokeeni salamu nyingi toka kwa Rais Samia

    Hii kada ya udereva ina mishahara midogo sana hadi nawaonea huruma.
  5. Daraja Makofia

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa raisi wa wanavyuo(TAHLISO) ni lini

    Katiba ya TAHLISO inasema Rais atakaa madarakani kwa kipindi cha mwaka mmoja.
  6. Daraja Makofia

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa raisi wa wanavyuo(TAHLISO) ni lini

    Vyuoni huwa wanawachagua kila mwaka.
  7. Daraja Makofia

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi wa raisi wa wanavyuo(TAHLISO) ni lini

    Katika mambo yanayotia kinyaa ni hawa madogo. Huwa wanajikuta sijui ni akina nani? Ukiwakuta wamevaa Kaunda suits zao, wanajifanya watu wa system. Ila wa kulaumiwa ni waliopo kwenye mfumo kwa kutengeneza vijana wa hovyo wanodhani UCHAWA ndiyo njia ya kutokea. Mimi ni muajiriwa wa Chuo Kikuu...
  8. Daraja Makofia

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini ya Lissu: Jamhuri yakosa mashahidi!

    Kwanza wanatakiwa kumlipa stahiki zake tangu alipopewa force number mpaka leo. Si wanadai Lissu ni askari wao?
  9. Daraja Makofia

    JamiiForums Tanzania Huyu kaka namjua ila sijui anafaidika na nini kuvaa mavazi ya kike na kwenda mahakamani

    Mahakama imeamuru tufiche utambulisho wa mashahidi, hapa mnafichua... 😄 🤣 😂
  10. Daraja Makofia

    JamiiForums Tanzania Tafadhali sana, kama hujui maana ya siasa usiandike mada za kisiasa!

    In the monolith of civic discourse, where threads fork endlessly without merge, we scaffold governance atop abstract interfaces— yet the core class remains undefined, its constructor lost in recursive inheritance. Controllers echo with verbose declarations, but the route to truth...
  11. Daraja Makofia

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mpina awekewa pingamizi na mwanachama mwenza kugombea urais kupitia ACT WAZALENDO

    Aanze kumuwekea pingamizi Chura Kiziwi kwanza. Maana mchakato wa ndani ya chama haukufuatwa.
  12. Daraja Makofia

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha! Mmoja wa viongozi wa vyuo vikuu vyetu nchini anavuta bangi

    Mbona Mama anpiga Faru John na hamzungumzi?
  13. Daraja Makofia

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Mashujaa waliovuliwa hadhi ya ubalozi wakitetea maslahi ya Tanganyika

    Hii phrase ilikuwa inatumika sana na HP wakati akiwa Cuba. Leo ndiyo nimekuja kuelewa kuwa alikuwa akituma ujumbe gani kupitia hii phrase.
  14. Daraja Makofia

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tarimba aangukia pua Kinondoni!

    Aende akaombe namba binafsi ya gari lake sasa. Zile za wabunge hazipati tena.
  15. Daraja Makofia

    JamiiForums Tanzania GE2025 Peter Msigwa ashindwa kura za maoni Iringa Mjini

    Huyo jamaa nilikuwa namuombea apatwe na lolote kwenye kinyang'anyiro hiki.
Back
Top Bottom