Hali hii ilinipata pia. Tarehe 30 nilitoka na bajaj maeneo ya Maili Mbili, Dodoma mpaka Uwanja wa Jamhuri ambapo dereva alisema anaishia hapo maana mjini hakuingiliki. Nilishuka na kuanza kutembea mpaka General Hospital ili nipate usafiri mwingine wa kufika Nzuguni.
Nilikuwa nikitembea barabara...
Katika mambo yanayotia kinyaa ni hawa madogo. Huwa wanajikuta sijui ni akina nani? Ukiwakuta wamevaa Kaunda suits zao, wanajifanya watu wa system.
Ila wa kulaumiwa ni waliopo kwenye mfumo kwa kutengeneza vijana wa hovyo wanodhani UCHAWA ndiyo njia ya kutokea.
Mimi ni muajiriwa wa Chuo Kikuu...
In the monolith of civic discourse,
where threads fork endlessly without merge,
we scaffold governance atop abstract interfaces—
yet the core class remains undefined,
its constructor lost in recursive inheritance.
Controllers echo with verbose declarations,
but the route to truth...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.