Unaumwa wewe, Mbona Sport pesa hawajakaa na CAF? Hakuna kitu kama hicho, club haimiliki bodi ya ligi wala TFF , bodi ya ligi wanamiliki ligi , wao ndio wenye mamlaka na wao ndio wanaingia mkataba na haki za matangazo , uweze kushiriki ligi lazima ukubaliane nao, club yenye huo mkataba...
Kwamba mechi za yanga huzion Azam? hamnaga mkataba wa hivyo, mdhamin mkuu wa ligi ndio mwenye dhaman na sii vinginevyo, .. kuhusu simba na yanga mara nyingi ziko nje ya sheria za mamlaka ya kisoka, wanaangaliaga busara na sii sheria wala kanuni, kitawalamba vizuri tu, Mbona sport Pesa au M-Mbet...
The goal is to demolishe the infrastructures, site zilizopigwa zilikua kwaajil ya uranium conversion facility and other nuclear infrastructure, sio kwamba zilikua zinahifadhiwa active nuclear weapons, hapana
Hakuna siri yeyote anayoweza kua nayo Irani , ndege zaid ya 200 zinaingia kwenye anga lake na kuondoka hajui, ndio aje afiche kitu? Mossad wameweka kambi hapo hapo Iran na hajashtuka miaka yote aje ahame hawajui ? Mbona mnapenda kujitukana , you are better than this
Wameondoa wapi? Kwamba Iran ataondoa alafu israel au usa asijue? Yan waweze kuvamia chumban kwako na kukuua washindwe kijua ukihama? Mnamatatizo ya akili ya nyie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.