Recent content by Dannynaste

  1. D

    Ni rekodi gani iliyompandisha chati Kikwete kiasi kile mwaka 2005?

    Kuanzishwa kwa TRA kuwa mamlaka alipokuwa waziri wa fedha. Hapo mwanzo hakukuwa na kitu hicho. TRA ilianzishwa mwaka 1995 Kikwete alipokuwa Waziri wa fedha. Na mwaka 1996 ilianza kazi zake rasmi kama mamlaka. Leo tunajivunia TRA. Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni
  2. D

    Wakati tunapiga kelele akamatwe akamatwe nasikia mwenzetu ndio katelemsha hii kitu toka KLM

    Si kweli. Hiyo picha imechukuliwa JKIA (Nairobi). Gari hiyo kanunua jamaa mmoja (mfanyabiashara) wa Kenya. Kusema ni ya Rugemalila ni uongo mtupu
  3. D

    Mbunge mwenye elimu ndogo kuliko wote Tanzania

    Mbowe amemaliza form six Ihungo Sec, na baada ya hapo inasemekana alienda Makerere kusoma certificate
  4. D

    Huyu ndiye fisadi hatari zaidi

    Umetiririka vyema, lakini hapo kwenye "M" umepotoka.
  5. D

    ITV hawajui wakifanyacho Kwa Kufanya Siasa Chafu kupitia TV yao!

    TBC haipatikani kwenye king'amuzi chako?!
  6. D

    January Makamba awaita wasanii wa Bongo Movie Serena Hotel leo

    January role model wake ni Kikwete. Hatuko salama
  7. D

    Membe: Ngeleja ni tishio urais 2015

    Kumbe na Ngeleja ana makuwadi wake humu
  8. D

    Tundu Lissu ni mgonjwa leo nimeamini

    Kwani Nyerere Mungu mpaka asisemwe?
  9. D

    Zitto: Nina sharti moja tu kurudi CHADEMA

    Ili mbaki na mpiga majungu Kilewo siyo?! Alichokifanya kwa Zitto atafanya kwa mwingine pia. Dhambi hiyo haitaishia hapo, itaendelea Itachukua muda CDM kujua ukweli lakini utajulikana tu.
  10. D

    Zitto: Nina sharti moja tu kurudi CHADEMA

    Chadema iliwafukuza akina Shonza na Mwampamba ikamwacha Henry Kilewo. Huyu naye ni kirusi kingine ndani ya Chadema. Anatafuta umaarufu kwa kuendesha majungu dhidi ya watu wengine. Kilewo ndiye alisuka mkakati mzima wa kumchafua Zitto Kabwe. Chadema wangejua mbaya wao ni nani, mgogoro usingetokea...
  11. D

    Kumekucha TRA

    Jaji Ruangisa
Back
Top Bottom