Kuanzishwa kwa TRA kuwa mamlaka alipokuwa waziri wa fedha. Hapo mwanzo hakukuwa na kitu hicho. TRA ilianzishwa mwaka 1995 Kikwete alipokuwa Waziri wa fedha. Na mwaka 1996 ilianza kazi zake rasmi kama mamlaka. Leo tunajivunia TRA. Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni
Ili mbaki na mpiga majungu Kilewo siyo?! Alichokifanya kwa Zitto atafanya kwa mwingine pia. Dhambi hiyo haitaishia hapo, itaendelea Itachukua muda CDM kujua ukweli lakini utajulikana tu.
Chadema iliwafukuza akina Shonza na Mwampamba ikamwacha Henry Kilewo. Huyu naye ni kirusi kingine ndani ya Chadema. Anatafuta umaarufu kwa kuendesha majungu dhidi ya watu wengine. Kilewo ndiye alisuka mkakati mzima wa kumchafua Zitto Kabwe. Chadema wangejua mbaya wao ni nani, mgogoro usingetokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.