Recent content by dannymopao

  1. D

    JamiiForums Tanzania natafunda fundi wa ushonaji nguo za kike

    niko masaki mtaa wa slipway natafuta fundi nguo nimuajiri,awe anajua kushona nguo kwa fashion na mchoro utakaopewa na designer.....namba yangu ni 0784177507
  2. D

    JamiiForums Tanzania Umeme wa Tanesco: Rais Magufuli anajua kinachoendelea?

    Wewe una shida.....kwaida kivip mbona kodi haipungui
  3. D

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Tunalipa deni la taifa bilioni 950

    yapi hayo
  4. D

    JamiiForums Tanzania Wale Mnaotuponda Watumiaji wa Tecno....

    tofautisha nyumba na kibanda
  5. D

    JamiiForums Tanzania Wale Mnaotuponda Watumiaji wa Tecno....

    tatizo jina mkuu linatia hasira
  6. D

    JamiiForums Tanzania Wale Mnaotuponda Watumiaji wa Tecno....

    kweli kabisa mkuu
  7. D

    JamiiForums Tanzania Tigo wamepunguza tena vifurushi sas unapata MB 350 kwa Tshs 1000.kabla ilikuwa MB 650 kwa tshs 1000

    Ha ha ha hii no tanzania hamieni halotel
  8. D

    JamiiForums Tanzania Wachumi wamshukia Magufuli, watabiri pigo la kiuchumi

    Daaah we jamaa sikutegemea kuna watu wenye akili kama wewe nchi hii,hongera sanaa
  9. D

    JamiiForums Tanzania Wachumi wamshukia Magufuli, watabiri pigo la kiuchumi

    We ndugu unashangaza sana mtu anapoambiwa ukweli eti anakatishwa tamaa,nchi hii ni maskini sanaaa lazma uuze sana nje ili upate fedha za kigeni ushindane kwenye soko la dunia kupandisha thamani ya sh yako.......mi nna wasiwasi na elimu yako we mtu au kichwa yako mana huelewi chochote
  10. D

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aleta heshima mtaani, na wakati huohuo aleta ugumu wa maisha

    Unajua ngoja nikae kimya tuu,naona watu hawajielewi humu,hakuna mtu anakataa kulipa kodi wewe,ila haiwezekan unalipwa 150,000 kwa.mwezi alafu ikatwe kodi hakuna iyo kitu nchi yoyote ile,kuna kiwango maalum cha mshahara ndo kinaanza kukatwa na hata ivo sio 18% hii ni hatari maisha ni shida
  11. D

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aleta heshima mtaani, na wakati huohuo aleta ugumu wa maisha

    Mkuu kama huelewi kinachoongelewa hapa ni bora ukae kimya,kulipa kodi ni wajibu sio kwa kuumizana alaf nahisi huna information,tafuta ni wap nchi za africa tunalipa kodi juu namna hii?soma hata gugo tu.....mtu unalipwa sh 150,000 inakatwa kodi,iyo sio sawa kabisa kuna kiwango cha mshahara ndo...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aleta heshima mtaani, na wakati huohuo aleta ugumu wa maisha

    Haya sio maisha kabisa we watu wanapiga kelele mi nawaangalia tu wanashabikia ujinga
  13. D

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli aleta heshima mtaani, na wakati huohuo aleta ugumu wa maisha

    Mkuu hakuna kitakachoendelea tu ile anayosema mtu hakuna vision ni kweli,bila maona hakuna direction utakua unakurupuka tuu hasa kama plan hakuna
  14. D

    JamiiForums Tanzania Finishing Solution and House Renovation

    Gutter ni moja ya sehemu ya nyumba ambayo ikifungwa vibaya huharibu mfumo mzima wa roof. Smartfundi tunao mafundi waliobobea na wenye mafunzo na uzoefu mkubwa katika ufungaji wa Gutter. Contact Us: (+255) 655 333 355, (+255) 769 277 059
  15. D

    JamiiForums Tanzania Smartfundi Co. Ltd

    Smartfundi Co. Ltd deals with the total solution for house finishing and renovation. We also offer consultation on where to buy the construction materials for your house finishing or renovation and how to apply to get the best result. We offer roofing, electricity related works, construction...
Back
Top Bottom