Ni kitendo cha kiungwana na kibinadamu kuomba radhi kwani binadamu siyo malaika wasikosee. Kutambua kosa ni jambo moja na muhimu kwa mwanadamu yeyote na kuomba radhi ni tabia ya kiungwana na ya kibinadamu kwa kweli. Nampongeza Mh. Makonda kwa hatua hiyo kama ni kweli. Mwanadamu hukosea na...
Li
Nina mashaka makubwa na uwezo wa Prof katika masuala ya siasa. Lipumba kuwa mwenyekiti wa CUF ni matatizo matupu tangu awe mwenyekiti amedumaza chama tu kwa kuwa siyo kiongozi kwani hana maono na wala hana na ya kupeleka chama cha CUF kwenye hatua yoyote ya ukuaji wa kisiasa. Wana CUF...
Huo ndio ukweli. Watanzannia hawapendi kuambiwa ukweli haswa pale maslahi yao yanapoguswa. Mfumo wa elimu ya Tanzania ulikuwa mbovu kabisa. Sasa Prof. Ndalichako anaturudisha kwenye mstari tunalalamika. Mimi binafsi sitaki mwanangu asome katika mfumo huu wa kuunga unga. Watu wafuate...
Ama kweli watu wanapenda sana kulinda maslahi yao binafsi badala ya kuangalia maslahi mapana ya Taifa. Ukweli ni kuwa alichosema Ndalichako ni cha msingi kwa mustakabali wa elimu ya Tanzania. Tatizo wako watu wengi sana wenye elimu ya kuunga unga sasa wanaona Profesa Ndalichako anaweka wazi siri...
i
Ni vizuri kufanya hivyo kwa kuwa uzuiaji wa mikutano ya vyama vya siasa kimsingi ni ukiukaji wa haki za kisiasa kwa wananchi. Bado kuna sababu ya kuondoa zuio la kufanya mikutano na maandamano kwani hizo ni haki za kikatiba za raia wa nchi hii nzuri ya Tanzania nchi ambayo katiba ni sheria...
Wachumi wapo walichokisema kimesikiwa. Kati ya vitu ambavyo siasa haina nafasi ni Uchumi. Uchumi pamoja na kwamba ni takwimu hata mtu ambaye hajenda shule anaweza kujua kuwa hali ni nzuri au ni mbaya. Ninachoweza kusema ni kuwa kiasi cha mzunguko wa fedha ni kidogo mno kiasi kwamba baadhi ya...
Kila sababu inaweza ikawa ni jibu sahihi ila tatizo hakuna maelezo yaliyotolewa zaidi ya kuwa uwepo wa wafanyakazi hewa ndiyo sababu. Ila ni kweli kuwa muda uliowekwa umeisha na hakuna tamko lingine. Katika mazingira kama hayo ni kusubiri tu na kuona jinsi serikali yetu inavyojipanga...
Ninashindwa mara nyingi kujua watu wanapozungumza amani amani amani.
Ninajua hakika kuwa amani ni tundu muhimu kwa maendeleo ya Taifa lolote.
Jambo ninalozoea kusikia kwa wanasiasa ni kuwa tutailinda amani yetu kwa gharama yoyote. Jambo ambalo sijasikia ni kuwa Amani inalindwaje?
Nimesikia...
Na hilo ni swali ambalo halitakiwi kujibiwa. Ila huyo Dr. Slaa alishindwa kirahisi na Kikwete kwa hiyo wanamlilia kwa kuwa wanajuwa ni mtu wa kushindwa kirahisi tu.
Ni vizuri kwa hao makada wa CCM kurudi nyumbani. Ila mimi binafsi siwafagilii hata kidogo watu wa namna hii wa kuhama hama vyama. Tabia ya namna hii haifai kwa watu wenye busara za kweli. Kimsingi kama waliweza kutelekeza chama wakati kikiwa vitani wanarudi wakati wa amani hawa ni njaa tu...
Hapo sasa. Wawepo wakalimani wa lugha zote hizo ili akisafiri kiongozi basi aende na mkalimani wa lugha ya wenyeji anakokwenda. siyo aende na mkalimani wa kiingereza alafu tena awepo mkalimani wa kutoka kingereza kwenda lugha ya wenyeji. Hivi hili litapunguza gharama kwenye msafara wa viongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.