Rais Magufuli aamuru Ney wa Mitego aachiwe huru na wimbo wake upigwe vituo vyote redio na TV

Na sisi watanzania embu tujaribu kutumia hata utambuzi kidogo,

Kila kitu tunasubiro watu au mtu fulani aseme ndio tupate cha kuongelea

Sio kila kinachoongelewa lazima mtu tuje kwa pupa.

Alikamatwa, wengi tulikuja juu
Ameachiwa tumekuja juu

Sasa sisi kama raia tunasimamia wapi ??
Kwangu mimi hakupaswa kukamatwa. Kumuachia ni jambo jema na ni uamuzi sahihi lakini wangeweza kufanya vizuri zaidi na katika namna ambayo haidhalilishi serikali au watendaji wa serikali.

Mambo haya yanatuaibisha sana kama taifa. Site tunaonekana ni watu wa hovyo! Mbona kuna kesi nyingi tu zinatolewa mahakamani na jamuhuri (huwa wanasema tu serikali haina nia ya kuendelea na kesi!)?
 
We ni Mtu gani usiyetaka kushauliwa.

Kiongozi bora ni anayesikiliza ushauri sio kuweka Kiburi mbele.

Imemgusa hiyo balaaaa
 
Kwani hakukuwa na mgombea mwingine zaidi ya fisadi na jpm?



Slaa alifukuzwa na Noti za wanamtandao akaitwa CCM B

Wahamiaji haramu kutoka CCM walivamia chadema wakatufundisha eti Slaa kahongwa na CCM ,
Akina , Mgana Msindai, Hamisi Mgeja, Makongoro,Kingunge, Lawrence Masha wakaja kuwafundisha yupi CCM B na yupi Chadema Mwana mageuzi kweli
 
Watu mlTE="Troll JF, post: 20373795, member: 272540"]Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, ameliagiza Jeshi la Polisi kumuachia huru Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego' aliyekuwa akishikiliwa na Jeshi hilo.

Waziri Mwakyembe ameishauri pia BASATA kuondoa zuio lake dhidi ya wimbo huo, na badala yake uendelee kupigwa tu kama nyimbo nyingine.

Akiongea na Wandishi wa Habari muda huu mjini Dodoma, Dk. Mwakyembe amesema hata Rais Magufuli amefurahishwa na wimbo huo wa WAPO, na kumshauri Msanii huyo kama inawezekana aendelee kutaja watu wengine kama vile Wakwepa Kodi, Wauza Unga, Wabwia Unga, Wezi pamoja na watu wengine wasio na maadili mema katika jamii.







Nyimbo yenyewe ndio hii



MAONI YA MLETA UZI
Watanzania tumtumie Vizuri huyu Rais kkwa kweli hatakuja kutokea nani alifikiria hili.

Habari zaidi kuhusu huu Wimbo wa Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego' Soma;

Morogoro: Msanii Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego', akamatwa na Polisi

BASATA: Wimbo wa WAPO wa Ney wa Mitego kufungiwa, hauna Maadili

BASATA: Marufuku kusikiliza au kusambaza nyimbo zilizopigwa marufuku[/QUOTE]
Watu mliokuwa mnasema ney afungwe tu,Mara nyimbo inachochea vurugu,sasa mwenye nchi kasemaaaa ngoma ipigwe...sasa watu wa BASATA msikate tamaa mmefanya kazi yenu!
 
ila faza house ana mbwembwe, Neema kesho unakuja kudaiwa kodi za malimbikizo miaka 5 usidanganyike
 
...hii ya ney kuachiwa ni kiki nyingine ya kuwasahaulisha umma issue za vyeti vya bashite, uvamizi wake clouds na Nape kutaka kuchapwa pisto na yule mjinga.....Issue ya Ney haiwezi kwa namna yoyote kuwa kubwa kuliko issue ya bashite...lakini attention sasa imewekwa kwa Ney.....kiki tu hizi za kimagumashi....
 
...hii ya ney kuachiwa ni kiki nyingine ya kuwasahaulisha umma issue za vyeti vya bashite, uvamizi wake clouds na Nape kutaka kuchapwa pisto na yule mjinga.....Issue ya Ney haiwezi kwa namna yoyote kuwa kubwa kuliko issue ya bashite...lakini attention sasa imewekwa kwa Ney.....kiki tu hizi za kimagumashi....
We have to thank God that our president is making a U-turn on some issues.
 
Kwangu mimi hakupaswa kukamatwa. Kumuachia ni jambo jema na ni uamuzi sahihi lakini wangeweza kufanya vizuri zaidi na katika namna ambayo haidhalilishi serikali au watendaji wa serikali.

Mambo haya yanatuaibisha sana kama taifa. Site tunaonekana ni watu wa hovyo! Mbona kuna kesi nyingi tu zinatolewa mahakamani na jamuhuri (huwa wanasema tu serikali haina nia ya kuendelea na kesi!)?
Tatizo ndugu yangu siasa zimeshindwa kuwa na mipaka,
Raisi huku kwetu anachukuliwa kama Mungu vilee
 
Back
Top Bottom