Sio Nani yupo ya CHADEMA hiki chama kina maginius wengi Sana ukikutana na vijana kumi wa chuo kikuu 8 wote CHADEMA pengine mmoja au wawili ndio ccm kwahiyo hiki chama ni timaini la watu wenye akili kubwa Sana na wenye njaa na kiu ya maendeleo ya taifa lao.
Nchi hii Ina vituko kuliko hata vya mr Bean fikiria watu wale wale nyakati tofauti lakini wanazungumza Mambo tofauti na Yale ya wakati ule wa miaka 2 mmoja uliopita.
Nchi haina dira na mipango mkakati haipo kichwa Cha rais ndio dira mfano mwaka mmoja nchi haina covid leo nchi Ina covid Zaid ya...
Jizoeze kufanya mazoezi yanakufanya unakuwa very strong kiakili na kimwili
Vijana wengi mnapenda Sana Raha mnachukulia maisha rahisi pesa kidogo unataka uonekane mtaani umevaa kichupi miguu yote IPO nje unalanda lands mtaani umekodi pikipiki unazurura hovyo pesa ikiisha unarudi Tena kazini...
Hili la makomandoo wa jeshi la wananchi kumlinda Mbowe ndio limewavuluga wahuni wote na wasiojulikana.
Tokea Uhuru wa taifa hili hakujawahi kutokea mwanasiasa especially wa chama Cha upinzani kulindwa na kikosi maalum Cha makomandoo wasiopungua 4 hili lilikuwa pigo kuu kwa ccm na vibaraka wake...
Jambo ambalo majibu yake mpka muda huu sijui yasemeje ?
Kama bwire alikuwa informer iweje Sasa yupo kizuizini kwa mashtaka hayo ya ugaidi?
Kama kweli bwire ndio aliyesema mbowe amewatuma kazi ya kwenda kumdhuru Kiongozi huyo wa wilaya iweje bwire aieleze mahaka kwenye kesi ndogo alipigwa Sana...
Ccm wameshindwa kabisa kuwaunganisha watanzania wawe wamoja wanaendesha nchi kwa propaganda na usanii tu.
Ndio hiki wanachofanya kwa Freeman Mbowe kumtengenezea kesi ya kipuuzi ili kujipa ahueni ya kisiasa.
Ebu nisaidie nami nipate kujua ukabila wa chama hiki upo wapi?
CHADEMA Wana uongozi wa juu tukianza mwenyekiti makamu mwenyekiti katibu mkuu bara naibu katibu mkuu bara.
Na huko visiwani Hawa viongozi wote ni kabila gani na gani na wanatokea mikoa gani?
Ili niamini hicho unachosema kama kipo sahihi.
Wazungu sio wote wapo vile mnavyotaka Kuna mdada mmoja aliondoka hapa kwenda France kwa kisingizio hataki wanaume watanzania anapenda wazungu Sana kama wewe.
Kufika huko akakutana na mwenyeji wake nae akampleka kwenye nyumba wanakaa wahuni tupu.
Wakawa wanapishana tu kumyandua kwa siku wanaume...
Ahsante kiongozi nipo kwenye mchakato wa kupata kibari cha uchimbaji mdogo kuna eneo lina madini ya kutosha tunafikiria kutafuta wabia wakufanya nao kazi tatizo fedha.
Sasa kama sio maagizo ya samia suruhu mbona amekaa kimya?
Haoni yeye ndie anachafuliwa?
Mimi kwa siku nyingi nimeona hata wewe mayalla njaa imeanza kutafuna ubongo kilichobaki unaanza kutafuta namna ya kujipatia ugari kwa njia za kujitoa ufahamu kujifanya (mentol find)
Hivi unawezaje ukawa rais...
Nyarandu anatafuta namna ya kutumbukiza miguu yake kwenye mbio za urais ccm 2025 maana mama atajiweka pembeni vurugu zianze upya!!
Sasa lazima awadanganye watu wa ccm kuwa alishinda kwenye kura za maoni ,[emoji1787].
Wakati wajumbe wote waliona mtu sahihi ni Lissu ndio mshindani sahihi mpaka...
Mkuu nafahamu kazi zenu mimi kama mtaalam wa Carpenter structure and journal kwa kazi zote formwork sirub beam colum nitafute tufanye kazi pamoja lakini nitakucheki pahala kuna kampuni wanahitaji mainjinia kama nyie.
Ndugu Wana jamii forum Kama kichwa Cha habari hapo juu chumba kipo magomeni kata ya Makurumla mtaa wa mianzini chumba kina Hali nzuri Sana rangi,siling board na umeme maji yapo nje kinapangishwa kwa Bei nafuu Sana kwa mwezi shilingi 35000/=xmiezi 6=210000 umeme itategemea Sana matumizi yenu wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.