Kijana Yuko sahihi kabisa, umasikini siyo mzuri, ila hajatoa kikamilifu mfanyakazi afanyeje au atumie kanuni gani ili kujikwamua na umasikini, sawa anatakiwa kusave 150k,halafu baada ya kusave afanye nini, kwa ujumla hoja ni nzuri sana ila inahitaji mwendelezo ili kumuweka mtumiaji vizuri, mpaka...
Wazo zuri lkn haujaeleza kampuni itavyofanya kazi ili mshirika wako nae anufaike,mfano mm. Siko Dar lkn Nina mtaji ila wewe uko Dar,tumefanya makubaliano yote,mm narudi nyumbani kuangalia kampuni inaendaje,nitafahamu biashara na shughuli zetu zinakwendaje?
Iko sawa mtoto huyo ni wako,Toka mkutane kwake siku ya 14 ilikuwa ndani ya siku za hatari,na kumbuka mwanamke anapokuwa kwenye siku hizo huwa na hisia Sana za kusex, na ndo maana alisafiri umbali mrefu kuja kwako kwa sababu alikuwa na nyege za kutosha,pia alikuwa amekumisi lkn Toka April in kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.