Recent content by daniel_mboje

  1. daniel_mboje

    Anzeni kuwekeza kwenye Crypto

    Nipe namba yako tuongee vizuri nikuelewe
  2. daniel_mboje

    Crypto na ahadi ambayo haijatimia

    Kwahiyo cryptocurrency Haina madhara kwa anaeitumia?
  3. daniel_mboje

    Unataka kuanza biashara, lakini hauna idea” hapa ni nini cha kufanya?

    Mm na wazo la kufungua huduma ya mama na mtoto,mambo ya afya, mahitaji kujua vigezo,lakini mahitaji yake ni yapi.
  4. daniel_mboje

    Maisha ya kuishi kwa kuwaza msahara ni mateso

    Kijana Yuko sahihi kabisa, umasikini siyo mzuri, ila hajatoa kikamilifu mfanyakazi afanyeje au atumie kanuni gani ili kujikwamua na umasikini, sawa anatakiwa kusave 150k,halafu baada ya kusave afanye nini, kwa ujumla hoja ni nzuri sana ila inahitaji mwendelezo ili kumuweka mtumiaji vizuri, mpaka...
  5. daniel_mboje

    Nina wazo ambalo linaweza kutunufaisha mimi na wewe kama una kipato kidogo na hujui pa kuwekeza

    Wazo zuri lkn haujaeleza kampuni itavyofanya kazi ili mshirika wako nae anufaike,mfano mm. Siko Dar lkn Nina mtaji ila wewe uko Dar,tumefanya makubaliano yote,mm narudi nyumbani kuangalia kampuni inaendaje,nitafahamu biashara na shughuli zetu zinakwendaje?
  6. daniel_mboje

    Nilitembea naye kweli, akapata mimba... Lakini natatizwa na hili

    Iko sawa mtoto huyo ni wako,Toka mkutane kwake siku ya 14 ilikuwa ndani ya siku za hatari,na kumbuka mwanamke anapokuwa kwenye siku hizo huwa na hisia Sana za kusex, na ndo maana alisafiri umbali mrefu kuja kwako kwa sababu alikuwa na nyege za kutosha,pia alikuwa amekumisi lkn Toka April in kwa...
  7. daniel_mboje

    Mnajifanya kusikitika Kifo cha Katibu wa Masanja, ila hamkemei 'Uhuni' wake 'Wanafiki' wakubwa nyie

    Wewe utakuwa mmoja wa wapambe wa masanja,maana maneno yako Yana shida ndani yake.
Back
Top Bottom