Naomba kuuliza CCTV camera HDD Ina uwezo wa kutunza taarfa Kwa Dak ,Mwezi au masaa mangapi?
Pili CCTV camera zinazima baada ya mda gani au kunawezatokea hitilafu zikajizima zenyewe?
Je umeme ukikatika zitaendelea kuchukua tukio?
Ni Kwa wakati gani zinazima au utawasha through out years???
Yote haya madhaifu ya serikali ,hakuna kilichoshindikana na kilichopo juu ya serikali na Dola yake nzima ila tu mfumo wa uongozi tu ilivyo.
Viongoz wetu baadhi wanakosa msimamo na kushindwa kuona madhara ya baada ya mambo km haya mfano Udini ,ukabila n.k
Putin ajaomba msaada wa silaha za kivita ila uongoz wa nchi wenyewe ndo umeamua kuungana nao na hizo drone za kivita ni new model na ndo maana marekani inabadhiri kuwa aina hiyo inawezakuwa imetoka Iran na ndipo hao kukanusha hivo Haina maana kuwa silaha zimeisha Kwa vita ipi sasa bomu tu ndo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.