Wakuu,
Nimekuwa mbali kidogo na mji pamoja na mtandao. Ukiachilia mbali hili janga la Corona ambalo kila mmoja analisikia, mambo mengi yamekuwa yakinipita kama yanavyowapita ndugu zangu wengi wa vijijini.
Ninauliza tu, maana nimesikia juu juu - kwamba ndani ya miezi miwili kasoro, ndugu yangu...
Wakuu,
Nimesikiliza na kufuatilia yanayoendelea baada ya kuvuja kwa clips za video 'zinazodaiwa' kuwa ni za Askofu Josephat Gwajima akijirekodi wakati akifanya 'uzinzi'.
Sitaki kusema findings zangu kwa sasa kwa sababu naendelea kufuatilia na kuchunguza suala hili.
Kilichonisukuma kusema ni...
Ndugu yangu, ningekushauri tu uangalie zaidi kilichokupeleka Iringa ambacho ni kusimamia afya za binadamu.
Hayo masuala ya siasa, hasa za hapo Iringa, huwezi kuyaelewa na yaache yalivyo - siyo kwamba tunakukatisha tamaa ama kukupuuza, bali tunakwambia ukweli.
Hujui lolote la siasa za iringa...
Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) imesema kwamba Tanzania ina uhaba mkubwa wa wahasibu wenye CPA (Certified Public Accountant) ambapo kwa sasa walio na sifa hizo ni 8,000 tu nchi nzima waliofanya na kufaulu mitihani inayotolewa na taasisi hiyo ya umma.
Kwahiyo, NBAA wanasema...
Ndiyo maana nikasema hii habari imelishushia hadhi gazeti makini kama TanzaniaDaima. Purely Yellow Journalism.
Unless waseme kwamba wameamua kuiweka kwa 'shinikizo', vinginevyo hawakwenda beyond the doubts.
Ningefurahi zaidi kama hata sura ya huyo anayejiita 'aliyemtishia Nape bastola' ingeonekana hapa. Kwa teknolojia ilivyobamba, sidhani kama wabunge wote hao, akiwemo mwanahabari dada yangu Esther Bulaya, walishindwa hata kumfotoa ili walau watu waone sura yake na kuilinganisha na ile ya wakati...
KAMA kuna kitu ambacho Mwalimu Nyerere alikiabudu – mbali ya Mungu kupitia katika imani yake ya Kikatoliki – ni Siasa ya Ujamaa na Kujitegemea iliyozaliwa ndani ya Azimio la Arusha, ambayo aliendelea kuihubiri na kuitetea kwa nguvu zake zote hadi kikomo cha uhai wake.
Kila alikokwenda daima...
Miaka kadhaa iliyopita kulizuka kundi lililojiita UAMSHO ambalo lilisajiliwa kama JUMIKI (Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislam) mwaka 2001 kwa Hati ya Usajili Na.149 chini ya Sheria ya Jumuiya katika Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Sheria Namba 6 ya mwaka 1995 inayohusisha usajili wa...
Nakubaliana kabisa na wewe Brother. Najiuliza maswali mengi lakini nakosa majibu.
Lakini ajabu ni kwamba, humu ndani kuna watu wanashabikia kila jambo bila hata kulifanyia tafakuri. Ukiwaeleza ukweli ulivyo wanapiga kelele na wanakuona wewe hujui - wao ndio wanaojua.
Time will tell.
DM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.