Recent content by Daniel Mange

  1. D

    Msaada jinsi ya kuhama kutoka chuo kimoja kwenda kingine

    I IFM-Bcs in information technology kwenda SUA- Bcs in agricultural economics and agribusiness
  2. D

    Msaada jinsi ya kuhama kutoka chuo kimoja kwenda kingine

    Samahani naomba kuuliza kwamba kuna uwezekano mwanafunzi akahama toka chuo kimoja kwenda kingine? kam uwezekano upo je n process gan zinabid zifatwe? Msaada tafadhari
  3. D

    TCU WAJA NA MSISITIZO VYUO KU KUWA WAZI NA MIFUMO YAKE UDAHILI 4th ROUND KUANZIA 13/10/2018

    Write your reply...Samahani naomba kueleweshwa kwenye tangazo la TCU.wamesema maombi yatumwe moja kwa moja vyuoni je? hayo maombi tutatuma online au inabid uende direct kwenye chuo husika?
  4. D

    DIRISHA LA 4 UDAHILI VYUO VIKUU KUANZA TRH 13 HADI 20/10/2018

    Write your reply...Naomba kueleweshwa kwenye tangazo la TCU. wamesema maombi yatumwe moja kwa moja vyuoni je? unatuma kupitia online au inabid uunde direct kwenye chuo husika? Asanteni
  5. D

    Msaada wa kuapply SUA

    Asante sana mkuu
  6. D

    Msaada wa kuapply SUA

    Nina d ya geog na bios na e ya chemia je naweza kuchukua Bsc in agricultural economic and agribusiness
  7. D

    Mwongozo wa kozi za kuchagua 2018/19

    nimesoma cbg, Nina d ya geog na bios na e ya chemistry, je naweza kuchukua Bsc.agricultural economics and agribusiness SUA?
Back
Top Bottom