Morogoroo
Member
- Aug 17, 2018
- 28
- 12
Wadau nauliza kuhusu tohara ya mwanaume,,, me ni kijana mkubwa tu lakn bado cjafanya tohara napenda kujua kuhusu uponaji wake ni siku ngap maana Kama wasemavyo riziki ya mbwa Iko miguuni mwake... Naishi maisha ya Mwenyewe na riziki yangu had niende mtaani Kila siku... Tafadhal nijuzen naweza kuchukua Siku ngap kupona ili kuendelea na majukumu ya Kila siku