Recent content by Daniel Limbu

  1. Daniel Limbu

    Tutegemee nini kama hii picha ikimuonesha waziri mkuu na Lengai Ole Sabaya wakifanya mazungumzo ni ya kweli?

    Kikao cha Waziri Mkuu na Lengai Ole Sabaya ni dalili tosha ya imani kubwa ambayo serikali inayo kwa vijana wachapajazi kama Sabaya. Unaweza ukawaza au kusema chochote lakini Ole Sabaya ni miongoni mwa vijana ambao wana uwezo mkubwa wa kusimamia wanachokiamini na kikatendeka. Binafsi namuona...
  2. Daniel Limbu

    Luhwavi, Membe na Lukuvi, mnayopanga Gizani ili Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM yawekwa Hadharani

    Siasa za makundi ziliathiri sana mfumo wa chama chetu.Waliokuwa na maamuzi ni wale waliokuwa na fedha hata kama hawana sifa za kuongoza chama.CCM mpya inayojali watu kwa sifa zao na si fedha zao naiona sasa.Magufuli apewe chama akifue na kukinyoosha kwa pasi ya umeme ili kuua kunguni...
  3. Daniel Limbu

    Luhwavi, Membe na Lukuvi, mnayopanga Gizani ili Magufuli asiwe Mwenyekiti wa CCM yawekwa Hadharani

    CCM mpya itajengwa na JPM iwe iwevyo JPM ni mwenyekiti wangu mtarajiwa.Kidumu CCM
  4. Daniel Limbu

    Mufti mfikishie salamu zetu Mh rais atapofika kama mgeni rasmi katika hilo baraza la Eid...!

    Sikubakubaliani na hiyo hoja angalau wewe umesema waislamu wapo takribani 20% vipi sisi Wa Adventista Wasabato mbona hata 1% hatufiki lakini hatulalamiki? Ikifika wakati tukaanza kumwamrisha Rais amteue Nani kwa nasaba za dini zetu tutaligawa taifa.Au ulitaka uteuliwe wewe ndipo ujue waislamu...
  5. Daniel Limbu

    Magufuli ajenge CCM upya

    MAGUFULI AJENGE CCM MPYA. Tarehe 23.7.2016 Chama cha Mapinduzi CCM kitaingia katika zama mpya ya kuongozwa na M/kiti mpya Mh John P.Magufuli. Naita ni zama mpya kwani ni mategemeo yangu na wanachama wenzangu wa Chama hiki bora Afrika kuwa mfumo mpya wa Chama chetu ni lazima uanzishwe...
  6. Daniel Limbu

    JPM Government Should give people room to Speak out their Views.

    When diplomacy ends, War begins.-Adolf Hitler. 'Good Night'
  7. Daniel Limbu

    Mgahawa wa Chakula unaoruhusu watu kula wakiwa uchi wafunguliwa

    Ni rahisi kushangaa jinsi dunia inavyosafiri toka hatua moja kwenda nyingine lakini dalili za mfalme kurejea ziko karibu sana
Back
Top Bottom