I don't think so. Ibada ni mbele za Mungu. Kama vyombo vya habari vikiripoti ni sawa tu na ni vizuri lakini IKULU kutoa taarifa kwa vyombo vya habari siungi mkono, maana kama ni hivyo yeye hakwenda kuabudu bali alikwenda kujionyesha.
Wanasiasa wengi hawamjui Mungu na utendaji kazi wake. Hata...
I think you might like this book – "DHANA YA MAFANIKIO: Kwa Mawanda Mapana ya Kitheolojia
Start reading it for free: DHANA YA MAFANIKIO: Kwa Mawanda Mapana ya Kitheolojia (English Edition)
We need your comment on this
Post sent using JamiiForums mobile app
Ndg ni kweli tunaweza kushabikia kisiasa suala hili, lakini katika hali halisi Mdee hakupaswa kufanyiwa hayo! Inauma sana unapoona watu wanaojinasibu kufuata sheria wanavunja sheria mchana kweupe.
Halafu, hebu tufikiri, nini Kosa la Mdee? Mie sioni kosa lake kabisa kwa sababu hata kama angesema...
Hivi yale wanayopst Tanzamwanga, kweli wewe kama ni raia wa Tanzania au kama ndugu yako akifanyiwa hivyo (just imagine) utafurahi kweli? Biblia inasema LOLOTE UNALOTAKA UTENDEWE NA MWINGINE, MTENDEE VIVYO HIVYO" hiyo ndiyo "golden rule" ya maisha! Lakini nani anayependa yanayopostiwa na...
Nani anayemiliki Acount ya facebook ya Tanzamwanga? Ina maana hiyo imepewa kibali na TCRA kutukana watu? Kudhalilisha watu? Kama ni habari za uchochezi ziko hapo? Je ndo siasa za Tanzania hizo? Tunataka mwenye taarifa na huyu mmiliki wa acount tumshitaki. Sina interest na siasa lakini siwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.