Daniel J Seni
Member
- Nov 7, 2016
- 14
- 9
Nani anayemiliki Acount ya facebook ya Tanzamwanga? Ina maana hiyo imepewa kibali na TCRA kutukana watu? Kudhalilisha watu? Kama ni habari za uchochezi ziko hapo? Je ndo siasa za Tanzania hizo? Tunataka mwenye taarifa na huyu mmiliki wa acount tumshitaki. Sina interest na siasa lakini siwezi kuona wazee wanatukanwa kana kwamba ni watoto wadogo.