Recent content by Dance Macabre

  1. Dance Macabre

    Tanzania ingesaidia majimbo ya DRC ya Tanganyika na Kivu Kusini yawe nchi kamili kisha iachane na habari za kuhangaika na Congo.

    Kujiunga na ni kujiletea matatizo. Wawe tu kwenye sphere of influence kama Burundi.
  2. Dance Macabre

    Tanzania ingesaidia majimbo ya DRC ya Tanganyika na Kivu Kusini yawe nchi kamili kisha iachane na habari za kuhangaika na Congo.

    Yenu unafikiri yatakuja kuisha. Mkija kuamka kuna linchi jirani yenu liko very powerful
  3. Dance Macabre

    Tanzania ingesaidia majimbo ya DRC ya Tanganyika na Kivu Kusini yawe nchi kamili kisha iachane na habari za kuhangaika na Congo.

    Inavyoonekana serikali ya Kinshansa haina muda na usalama huko DRC mashariki. Wala hakuna matumaini ya kuwa kutakuja kukaa sawa. Tz ingehakikisha tu majimbo ya DRC inayopakana nayo ya Tanganyika na S. Kivu yanakuwa nchi huru kila moja kisha iachane na habari za DRC.
  4. Dance Macabre

    CHADEMA ya LISSU na HECHE ijizuie Mikutano yake kuwa mikutano ya kutangaza Injili

    Mimi naamini kabisa CDM na viongozi wake hawana wala hawafikirii swala la udini, lakini sura ya chama chao inasema tofauti kabisa. Hivyo wanapaswa kufanya bidii kufuta hiyo sura. Hawajawahi simamisha Mgombea Urais Muislamu, wala kuwa na kiongozi mkubwa Muislamu, ni chama kikubwa lakini ni dhaifu...
  5. Dance Macabre

    CHADEMA ya LISSU na HECHE ijizuie Mikutano yake kuwa mikutano ya kutangaza Injili

    CDM hawafanyi bidii zozote za kujisafisha dhidi ya tuhuma za udini. Wazembe sana.
  6. Dance Macabre

    PreGE2025 Wasira: Hatuwezi shindana na nusu CHADEMA, Ikulu wataiona kwenye Runinga

    Ikitokea Heche amesimama na kuanza kuzungumzo kama hivyo atapigwa stop kuwa anafanya kampeni kabla ya muda.
  7. Dance Macabre

    Hivi 'No Reform no Election' inapigania na mgombea binafsi?

    Kwa kweli binafsi nimechoka na wagombea wa vyama. Hii 'No Reforms no Election ya CHADEMA inapigania na mgombea binafsi?
  8. Dance Macabre

    PreGE2025 Ni wabunge gani wamedumu kwenye nafasi zao kwa muda mrefu zaidi?

    Basi kwa waliopo legend ni Lukuvi, miaka 30. Legend wa muda wote ni Mzindakaya, miaka 45.
  9. Dance Macabre

    PreGE2025 Ni wabunge gani wamedumu kwenye nafasi zao kwa muda mrefu zaidi?

    Ndugai ni legend hapo. Miaka 25 mpaka sasa.
  10. Dance Macabre

    PreGE2025 Ni wabunge gani wamedumu kwenye nafasi zao kwa muda mrefu zaidi?

    Kwa umri wake ana miaka kama 20+ mingine. Atakuwa kama wakina Pelosi
  11. Dance Macabre

    PreGE2025 Ni wabunge gani wamedumu kwenye nafasi zao kwa muda mrefu zaidi?

    Anaweza kuwa amevunja rekodi kwa kukaa miaka mingi bungeni
  12. Dance Macabre

    PreGE2025 Matatizo ya Morogoro Mjini hayataisha kama Mbunge ni Abood na Madiwani hawa wa kila kitu NDIO

    Mkiambiwa sera ya majimbo mnakubali kudanganywa na wahuni. Endeleeni kusubiri fadhila kutoka serikali kuu.
  13. Dance Macabre

    PreGE2025 Ni wabunge gani wamedumu kwenye nafasi zao kwa muda mrefu zaidi?

    Ni wabunge gani waliopo bungeni wamehudumu kwa muda mrefu zaidi? Nani anashikilia rekodi ya kuhudumu kwa muda mrefu zaidi? Muda wa wastani wa mbunge kuhudumu ni miaka mingapi?
  14. Dance Macabre

    Huyu Hapa ndo aliyeokoa maisha ya Tundu Lissu pale Dodoma, sio Mbowe

    Maneno mengi ya kuzunguka lakini hujaonyesha vema mchango wa Mbowe special tofauti na wenzake.
Back
Top Bottom