We mtoa mada jaribu kuwa mstaarabu,naona ume post ili ujifuraishe.
Nina wiki zaidi ya mbili niliku pm lakini hujajibu mpaka sasa.
Inawezekana wewe ni mwanafunzi wa Old Moshi.
Karibu tupange pamoja mimi nimetokea tanga,ila masuala ya usafiri popote nitagaramia mimi,hata msosi wa usiku usikupe shida,ukitaka kwenda bukoba kila wikendi nitakupa nauli,
mhh perry, mkuki kwa nguruwe mtamu ila kwa binadam ni mchungu,we si ndio unayeleta mada za vyuo humu.
Mpigamsuli endelea na game,hakuna droo yoyote na perry
Mkuu nakubaliana na wewe lakini ukweli ni kwamba viongozi wetu wanatakiwa kwanza wawe na heshima na ndio waheshimiwe.
Mimi mwenyewe siwezi kumheshim mtu yeyote ambaye yeye mwenyewe hajieshimu.sasa nitamheshimu kwa lipi wakati yeye mwenyewe kauli zake na mazungumzo yake yanapotosha?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.