Recent content by Damdeok

  1. Damdeok

    Mbona wanyama hawana daktari bingwa?

    Dah andiko hili limenifanya nimkumbuke Pdidy
  2. Damdeok

    Tuanzishe Kampeni Google watuambie kwanini wamempa Mo Dewji umiliki wa Tanzania

    Kwani google inafanyaje kazi? Google inakurahisishia wewe kupata majibu kutoka kwenye site mbalimbali. It's just a search engine kama zilivo bing, duckduckgo, yahoo, baidu, naver, AOL, na nyingine kibao. Ulipojibiwa hivo angalia ni site gani iliyokujibu ndo uichukulie hatua
  3. Damdeok

    Mambo 5 ya kufanya ukiwa umechoka kila kitu

    Umeongea vizuri sana na ni kweli kabisa however natamani kufafanuliwa kidogo. Haya ni matendo yanayotokea voluntarily au? Tunafahamu miayo sio kitu ambacho mtu anaamua. Siku hizi mtu akichoka pia anakimbilia Instagram, Twitter na mitandao mingine ya kijamii hiyo inakaa sehemu gani mtaalamu.
  4. Damdeok

    Morogoro: Profesa wa SUA afikishwa Mahakamani kwa shitaka la ugoni, mkewe adai fidia ya Milioni 100

    Kwanini mlalamikaji asanuke baada ya chitaaki chikaki kutoka?
  5. Damdeok

    Viongozi mtatuua kwa sonona

    Tukitumia mkaa kupikia mara moja tunaambiwa ni sawa na tumevuta fegi 300. Vile vile tunachafua mazingira (Carbon) Na tunaambiwa tukipikia mkaa mara moja ni sawa na tumevuta sigara 300. Vilevile tunaambiwa tunachafua mazingira hivyo tutumie gesi
  6. Damdeok

    Chagua Moja

    Akachome pori?
  7. Damdeok

    NECTA yatangaza matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili, 2017, 51,807 wakwama kuendelea kidato cha 3

    https://www.necta.go.tz/results/2017/ftna/results/S0140.htm Mzumbe secondary
  8. Damdeok

    NECTA yatangaza matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili, 2017, 51,807 wakwama kuendelea kidato cha 3

    https://www.necta.go.tz/results/2017/ftna/results/S1697.htm Nyumbu Secondary school
  9. Damdeok

    NECTA yatangaza matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili, 2017, 51,807 wakwama kuendelea kidato cha 3

    https://www.necta.go.tz/results/2017/ftna/results/S0681.htm Jaribu hii link itakupeleka ivumwe secondary
  10. Damdeok

    NECTA yatangaza matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili, 2017, 51,807 wakwama kuendelea kidato cha 3

    Mkuu #Hajto ingia kwenye hii link itakupeleka direct shulen kwako. ukifanikiwa utujuze
  11. Damdeok

    NECTA yatangaza matokeo ya darasa la nne na kidato cha pili, 2017, 51,807 wakwama kuendelea kidato cha 3

    Ndo hapa najaribu kuituma link. Ila tatizo link hazifunguki kwahiyo tuvumiliane ntakuwa nascreenshot kidogo kidogo kiongozi. sorry kwa usumbufi
Back
Top Bottom