Kwani google inafanyaje kazi? Google inakurahisishia wewe kupata majibu kutoka kwenye site mbalimbali. It's just a search engine kama zilivo bing, duckduckgo, yahoo, baidu, naver, AOL, na nyingine kibao. Ulipojibiwa hivo angalia ni site gani iliyokujibu ndo uichukulie hatua
Umeongea vizuri sana na ni kweli kabisa however natamani kufafanuliwa kidogo. Haya ni matendo yanayotokea voluntarily au? Tunafahamu miayo sio kitu ambacho mtu anaamua.
Siku hizi mtu akichoka pia anakimbilia Instagram, Twitter na mitandao mingine ya kijamii hiyo inakaa sehemu gani mtaalamu.
Tukitumia mkaa kupikia mara moja tunaambiwa ni sawa na tumevuta fegi 300. Vile vile tunachafua mazingira (Carbon)
Na tunaambiwa tukipikia mkaa mara moja ni sawa na tumevuta sigara 300. Vilevile tunaambiwa tunachafua mazingira hivyo tutumie gesi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.