REALITY
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 4,297
- 1,828
Habari wakuu
Anatokea Mtu anakupa adventure anakuambia uingie porini ukae kwa miezi sita halafu ukitoka unapewa Mil100 ,endapo utakubali anakuambia Chagua vitu hivi viwili A.kisu na kiberiti B.Begi la Mil300 ,unachagua chagua lako,unapanda pipa unaendwa shushwa kati kati ya Amazon,unapewa GPS ,Anakuambia Goodluck i will be back in 6 months to come i will find you,je.
Utachagua kipi na ukumbuke chochote utachochagua ukatoka mzima Mil 100 ipo mezani
Anatokea Mtu anakupa adventure anakuambia uingie porini ukae kwa miezi sita halafu ukitoka unapewa Mil100 ,endapo utakubali anakuambia Chagua vitu hivi viwili A.kisu na kiberiti B.Begi la Mil300 ,unachagua chagua lako,unapanda pipa unaendwa shushwa kati kati ya Amazon,unapewa GPS ,Anakuambia Goodluck i will be back in 6 months to come i will find you,je.
Utachagua kipi na ukumbuke chochote utachochagua ukatoka mzima Mil 100 ipo mezani