Tunatafuta mtu wa kufanya kazi za logistics za magari mwenye elimu kuanzia kidato cha nne awe na umri zaid ya 25 years,awe anaweza kuishi sumbawanga mshaharaha laki 3,Awe anajua computer.cv atume chriss@equpointproperty.co.tz
Natafuta mtu wa marketing mwenye uzoefu kwenye transportation sector pia ambaye ana uzoefi na maswala ya sells.
Awe mwenye elimu kuanzia diploma,umri chini ya miaka 30 anayejua computer system kama atakuwa kafanya kazi kampuni za tracking kwenye sells will be advantage.
contact...
Huyu mbunge wangu nimekuwa nikifuatia kauli zake ila nilichokiona ni mnafiki,sio jasiri pia ni muibuaji wa hoja na kurudi kinyumenyume kudai rushwa hili tumempima kwa hoja ya buzwagi,majina ya walioficha hela nje ya nchi,sakata la miradi yenye giza la rushwa nssf akiwa kamati ya PAC.nitaweka...
tunahitaji IT sells mwenye uzoefu katika transportation sectors,product zetu ni gps tracking,fuel tracking,asset management.kama ushafanya kazi kwenye tracking companies au una convinsing power for selling pls apply chriss@equpointproperty.co.tz au contact 0652715232
Kitendo cha stendi ya Ubungo kuwa giza totoro kwa kukosekana taa na abiria kuibiwa ni ukosefu wa ubunifu wa UKAWA. Wamebaki wanadai ushuru abiria wakati huduma muhimu za vyoo na taa zikiwa hakuna.
Hii inaonesha jinsi gani wasivyojali raia. Kubenea tulikutuma utetee wanaubungo na sio kutoka nje...
Dar es Salaam. Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata amesema mapato katika Bandari ya Dar es Salaam yameongezeka katika miezi miwili iliyopita licha ya mizigo inayopitia hapo kupungua.
Kidata alisema hayo jana baada ya hivi karibuni Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA)...
katika analysis za kisiasa imethibitika kuwa lowasa ni gogo la ubani ukilichoma ndio linazidi kunukia ccm wanavyomsema lowasa ndio watu wanavyozidi kumpenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.