Recent content by damax

  1. damax

    JamiiForums Tanzania Wakumbuka nini enzi za shule ya msingi?

    21rew222r
  2. damax

    JamiiForums Tanzania Kibondo, Kigoma: Mwalimu wa shule ya Msingi Mlange adakwa na fedha bandia, kesi yamalizwa kimya kimya polisi

    Uzalendo mwachieni nyerere na mandela.....na inaonekana ulikuwa dukani unakunywa pombe za magendo kutokea burundi.....
  3. damax

    JamiiForums Tanzania Kibondo, Kigoma: Mwalimu wa shule ya Msingi Mlange adakwa na fedha bandia, kesi yamalizwa kimya kimya polisi

    Baadae utasikia na ubakaji wa watoto....kufanya kazi vijijini ni changamoto mnakuwa wachache wazawa wanachukia sana....hili chuki utakuta mzawa aliyesoma degree zenye bridge course alafu jobless na hamna dalili za kazi.anachoweza ni roho mbaya na fitina
  4. damax

    JamiiForums Tanzania Kibondo, Kigoma: Mwalimu wa shule ya Msingi Mlange adakwa na fedha bandia, kesi yamalizwa kimya kimya polisi

    We ndo mwenye duka? Au we umeathirikaje directly ? ...na inaonyesha huna kazi
  5. damax

    JamiiForums Tanzania Kibondo, Kigoma: Mwalimu wa shule ya Msingi Mlange adakwa na fedha bandia, kesi yamalizwa kimya kimya polisi

    Una pika robo mbaya...ubaya wote uonekane baada ya noti bandia
  6. damax

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Binti wa Miaka 24 hajui Ku-Kiss (Kubusuana)..

    Nipe mimi na mimi sijui...ili tufundishane
  7. damax

    JamiiForums Tanzania Kibondo, Kigoma: Mwalimu wa shule ya Msingi Mlange adakwa na fedha bandia, kesi yamalizwa kimya kimya polisi

    Hama kijijini...mnasumbuliwa na mwalimu wa shule ya msingi....huku tulishawasahau wanaonekana mashuleni tu.sijui wanakaa wapi..huwezi sikia mtu anatamba ye ni mwalimu....KWA HELA GANI NA KWA KIPI ANACHOJUA.....nyie ni watu wa kuwa wanyonge kwa mwalimu hamuwezi kusaidika
  8. damax

    JamiiForums Tanzania Mwongozo wa Namna ya Kuanzisha na Kuendesha Biashara ya Mini Supermarket

    Wadau naombeni msaada wenu wa mawazo. Nahitaji kufungua mini market capital na location ninayo. Tatizo ni how ya kupata good suppliers, system za mauzo,where to get shelves na vinginevyo sijawahi fanya hii biashara I am new to it. Naomba kuwasilisha.
Back
Top Bottom