Recent content by Damaso

  1. Damaso

    Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Pitia hata Duolingo Mkuu! Kikubwa ni kuwa umekwepa tozo tu! Foundation year itakuhusu ukiwa Tokyo
  2. Damaso

    Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Kuna dogo mmoja ana division 1 ya point 4 amekataa kuomba! Anataka kwenda kusoma Mwenge University! Sijamvunja moyo ila nimeshangaa sana
  3. Damaso

    Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Huko Embassy kuna wabongo wana roho mbaya sana! Acha tu mkuu!
  4. Damaso

    Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Mungu ni mwema leo nimefanikiwa kutuma applications mbili bhana! Ila Posta wanadai kuwa njia hii ya kutuma kwa EMS ndio bora zaidi maana mchakato wake watu weusi hawatahusika kabsa
  5. Damaso

    Wageni Milioni 27 Wamerundikana South Africa, Idadi Hii ni kubwa sana, Naunga mkono Watimuliwe

    Mkuu umeongea utumbo kabsa! Ukiambiwa kuwa kuna maeneo wanakaa Afrikaans hata mbu mweusi haingi uwe unaelewa! Kuna private airports ambazo zinatumiwa na wazungu pekee! Kuna mitaa hata kivuli cheusi hakipo! TATIZO LA SA HALIJAWAHI KUWA MWAFRIKA ILA NI MAKABURU. Ila HONGERA propaganda za kuigawa...
  6. Damaso

    Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Kuna mmoja ni Lecturer hapo UDSM yeys anasema mitihani yao ni migumu sana na utatakiwa kufanya mitihani miwili, mtihani wa lugha ya Kijapani na Lugha ya Kiingereza
  7. Damaso

    Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Kabsa! Yaani mlinzi ndio ana moyo wa kusaidia kuliko waliopo ofisini
  8. Damaso

    Kuweni Makini na Dar Expart Sales na utapeli wa Pesa Mtandaoni

    Kuna dogo hapa Tabata amelipa 900k eti achukue PS4 mbili pamoja na Television 😃 Nikacheka nikajisemea subiria wakuletee 😃 leo ni siku ya nne wameshampiga block
  9. Damaso

    Kuweni Makini na Dar Expart Sales na utapeli wa Pesa Mtandaoni

    Mikwara kuwa ameshapata mtu ili akupe presha ujae kwenye mfumo 😃 matapeli bhana 😃 kuwa makini mkuu
  10. Damaso

    Kuweni Makini na Dar Expart Sales na utapeli wa Pesa Mtandaoni

    Hivi karibuni kumeibuka wimbi jipya la kitapeli ambalo limeacha mamia ya Watanzania wakilia na kusaga meno. Ukiwa unaperuzi Facebook, unakutana na tangazo lenye mvuto wa kipekee: Ukurasa wa "Dar Expart Sales" au "Arusha Expart Sales" unatangaza kuuza bidhaa za ndani kwa bei ya "vunja bei."...
  11. Damaso

    Vyuo Vikuu fanyeni mchakato wa kutoa Honoris Causa kwa waandishi wa vitabu vya kitaaluma

    Dar es Salaam – Katika kumbi za mihadhara za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na kote nchini, majina kama Angela Anselim Kiseku na Astrid Mushemba yanang’aa kama alama ya ubora wa elimu ya juu nchini Tanzania. Hawa ni wahitimu waliobeba tuzo za kimataifa katika uhandisi wa mafuta na jiolojia...
  12. Damaso

    Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Jana Jumanne bhana nikaamka na dhamira moja—kutafuta ukweli kuhusu ufadhili wa MEXT wa Japan. Nilikuwa na ndoto ya kuwasaidia vijana wangu wanne kufungua milango ya elimu ya kimataifa. Safari yangu iliniongoza hadi barabara ya Ali Hassan Mwinyi, Dar es Salaam, nikiwa na matumaini makubwa, ni...
  13. Damaso

    Uongozi wa Shule ya Pugu mmefeli sana kumuweka Mpoki kuwa mgeni rasmi wa mahafali yenu

    Yaani sure Mkuu! Kwamba amekosa hawa CEO wote wa Mabenki Dar es Salaam hapo? Wale big fish 😔 duuh Pugu imekuwa Pogo
Back
Top Bottom