Recent content by Damaso

  1. Damaso

    JamiiForums Tanzania Julius Mtatiro kwenye hili umefeli sana bro

    Katika mazingira ambayo vijana wengi wa Kitanzania wanahangaika kutafuta ajira baada ya kuhitimu vyuo vikuu, mjadala kuhusu elimu ya ufundi na elimu ya juu ni muhimu. Lakini kilichofanywa na mwanasiasa Julius Mtatiro si mjadala wa kujenga taifa — ni propaganda ya kisiasa iliyovuka mipaka ya...
  2. Damaso

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yakumbwa na aibu Nyankumbu -Geita

    🚮
  3. Damaso

    JamiiForums Tanzania Changamoto za Kunywa Vilevi Mitandaoni: Hatari ya Tonie Professor

    Yupo yule mchaga ndio ameingia mjini
  4. Damaso

    JamiiForums Tanzania Changamoto za Kunywa Vilevi Mitandaoni: Hatari ya Tonie Professor

    Bado yule Manka 😃 yule ndio atalia na kusaga meno
  5. Damaso

    JamiiForums Tanzania Je, mtoto anaweza kurithi ugonjwa wa Hydrocephalus kupitia wazazi wake?

    Majibu bora sana! Hii ina maana tunapaswa kuwa makini sana na watu tutakaokwenda kuanzisha nao familia. Big up sana
  6. Damaso

    JamiiForums Tanzania Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Sawa Mkuu! Nimekuelewa sikutakiwa kuonesha ujinga wangu ubalozini!
  7. Damaso

    JamiiForums Tanzania Changamoto za Kunywa Vilevi Mitandaoni: Hatari ya Tonie Professor

    Kuna watu walinifuata PM wakanitukana kuwa K Vant na hizo pombe kali hazina tatizo 😔 sasa hivi janja kimemlamba
  8. Damaso

    JamiiForums Tanzania Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Pitia hata Duolingo Mkuu! Kikubwa ni kuwa umekwepa tozo tu! Foundation year itakuhusu ukiwa Tokyo
  9. Damaso

    JamiiForums Tanzania Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Kuna dogo mmoja ana division 1 ya point 4 amekataa kuomba! Anataka kwenda kusoma Mwenge University! Sijamvunja moyo ila nimeshangaa sana
  10. Damaso

    JamiiForums Tanzania Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Huko Embassy kuna wabongo wana roho mbaya sana! Acha tu mkuu!
  11. Damaso

    JamiiForums Tanzania Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Mungu ni mwema leo nimefanikiwa kutuma applications mbili bhana! Ila Posta wanadai kuwa njia hii ya kutuma kwa EMS ndio bora zaidi maana mchakato wake watu weusi hawatahusika kabsa
  12. Damaso

    JamiiForums Tanzania Wageni Milioni 27 Wamerundikana South Africa, Idadi Hii ni kubwa sana, Naunga mkono Watimuliwe

    Mkuu umeongea utumbo kabsa! Ukiambiwa kuwa kuna maeneo wanakaa Afrikaans hata mbu mweusi haingi uwe unaelewa! Kuna private airports ambazo zinatumiwa na wazungu pekee! Kuna mitaa hata kivuli cheusi hakipo! TATIZO LA SA HALIJAWAHI KUWA MWAFRIKA ILA NI MAKABURU. Ila HONGERA propaganda za kuigawa...
  13. Damaso

    JamiiForums Tanzania Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Kuna mmoja ni Lecturer hapo UDSM yeys anasema mitihani yao ni migumu sana na utatakiwa kufanya mitihani miwili, mtihani wa lugha ya Kijapani na Lugha ya Kiingereza
  14. Damaso

    JamiiForums Tanzania Scholarship za Japan MEXT: Waafrika tunafelishana wenyewe

    Kabsa! Yaani mlinzi ndio ana moyo wa kusaidia kuliko waliopo ofisini
Back
Top Bottom