Mungu ni mwema leo nimefanikiwa kutuma applications mbili bhana! Ila Posta wanadai kuwa njia hii ya kutuma kwa EMS ndio bora zaidi maana mchakato wake watu weusi hawatahusika kabsa
Mkuu umeongea utumbo kabsa!
Ukiambiwa kuwa kuna maeneo wanakaa Afrikaans hata mbu mweusi haingi uwe unaelewa! Kuna private airports ambazo zinatumiwa na wazungu pekee! Kuna mitaa hata kivuli cheusi hakipo! TATIZO LA SA HALIJAWAHI KUWA MWAFRIKA ILA NI MAKABURU.
Ila HONGERA propaganda za kuigawa...
Kuna mmoja ni Lecturer hapo UDSM yeys anasema mitihani yao ni migumu sana na utatakiwa kufanya mitihani miwili, mtihani wa lugha ya Kijapani na Lugha ya Kiingereza
Kuna dogo hapa Tabata amelipa 900k eti achukue PS4 mbili pamoja na Television 😃 Nikacheka nikajisemea subiria wakuletee 😃 leo ni siku ya nne wameshampiga block
Hivi karibuni kumeibuka wimbi jipya la kitapeli ambalo limeacha mamia ya Watanzania wakilia na kusaga meno. Ukiwa unaperuzi Facebook, unakutana na tangazo lenye mvuto wa kipekee: Ukurasa wa "Dar Expart Sales" au "Arusha Expart Sales" unatangaza kuuza bidhaa za ndani kwa bei ya "vunja bei."...
Dar es Salaam – Katika kumbi za mihadhara za Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na kote nchini, majina kama Angela Anselim Kiseku na Astrid Mushemba yanang’aa kama alama ya ubora wa elimu ya juu nchini Tanzania. Hawa ni wahitimu waliobeba tuzo za kimataifa katika uhandisi wa mafuta na jiolojia...
Jana Jumanne bhana nikaamka na dhamira moja—kutafuta ukweli kuhusu ufadhili wa MEXT wa Japan. Nilikuwa na ndoto ya kuwasaidia vijana wangu wanne kufungua milango ya elimu ya kimataifa. Safari yangu iliniongoza hadi barabara ya Ali Hassan Mwinyi, Dar es Salaam, nikiwa na matumaini makubwa, ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.