Katika mazingira ambayo vijana wengi wa Kitanzania wanahangaika kutafuta ajira baada ya kuhitimu vyuo vikuu, mjadala kuhusu elimu ya ufundi na elimu ya juu ni muhimu. Lakini kilichofanywa na mwanasiasa Julius Mtatiro si mjadala wa kujenga taifa — ni propaganda ya kisiasa iliyovuka mipaka ya...
Mungu ni mwema leo nimefanikiwa kutuma applications mbili bhana! Ila Posta wanadai kuwa njia hii ya kutuma kwa EMS ndio bora zaidi maana mchakato wake watu weusi hawatahusika kabsa
Mkuu umeongea utumbo kabsa!
Ukiambiwa kuwa kuna maeneo wanakaa Afrikaans hata mbu mweusi haingi uwe unaelewa! Kuna private airports ambazo zinatumiwa na wazungu pekee! Kuna mitaa hata kivuli cheusi hakipo! TATIZO LA SA HALIJAWAHI KUWA MWAFRIKA ILA NI MAKABURU.
Ila HONGERA propaganda za kuigawa...
Kuna mmoja ni Lecturer hapo UDSM yeys anasema mitihani yao ni migumu sana na utatakiwa kufanya mitihani miwili, mtihani wa lugha ya Kijapani na Lugha ya Kiingereza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.