Recent content by Damaso

  1. Damaso

    JamiiForums Tanzania Kipekee sana Rais Samia anaweka alama nyingine ya maendeleo nchini kwa ujenzi wa shule 103 za Amali

    Ametumia pesa zake!? Kama ni pesa za Watanzania basi anayepaswq kupewa pongezi ji Mtanzania sio Samia
  2. Damaso

    JamiiForums Tanzania Usaili Ndani ya Ajira: Halmashauri ya Jiji la Mwanza Mmefeli sana

    Kama ulidhani Mwanza kuna mambo ya samaki tu, basi chukua na hii! Jiji la Mwanza limeingia kwenye kituko baada ya Mkurugenzi wa Halmashauri kutangaza usaili wa ghafla mnamo tarehe 27 kwa askari wote wa Jiji ili kubaini & "wasio na sifa."* Hapo ndipo wakazi wa Mwanza na Viunga vyake waliposhika...
  3. Damaso

    JamiiForums Tanzania Suala la Udini Vyuoni na Ukweli Mchungu

    Hivi majuzi kumekuwa na minong’ono chini kwa chini kwenye korido za wasomi na mitandao ya kijamii. Watu wanahoji: "Kwanini teuzi za Makamu Wakuu wa Vyuo Vikuu (Vice Chancellors) hapa nchini zimekaa mrengo fulani wa kiimani? Mbona pale SUZA pamejaa kanzu , na kule SAUT kumejaa mapadre na...
  4. Damaso

    JamiiForums Tanzania Mtwara: Mwanafunzi afariki dunia baada ya kunyongwa na watu wasiojulikana

    Mkuu unaishi Tanzania? Upo serious na kauli hii!? 🤔
  5. Damaso

    JamiiForums Tanzania Mtwara: Mwanafunzi afariki dunia baada ya kunyongwa na watu wasiojulikana

    Tatizo la kupasua chungu unatakiwa nawe uwe msafi ila kama nawe una makandokando kinaondoka na wewe! 😃 Mizimu haina masihara kabsa
  6. Damaso

    JamiiForums Tanzania Mtwara: Mwanafunzi afariki dunia baada ya kunyongwa na watu wasiojulikana

    Mwanafunzi wa darasa la tatu mwenye umri wa kati ya miaka nane hadi kumi, mkazi wa Mtaa wa Lilungu katika Manispaa ya Mtwara Mikindani, amefariki dunia baada ya kunyongwa na watu wasiojulikana. Tukio hilo limetokea jioni ya Juni 21, 2026, ambapo kwa mujibu wa mashuhuda, mtoto huyo...
  7. Damaso

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia 2026: Afrika kuipa support Mexico leo ni zao la Xenophobia?

    Wamempasua mtu vizuri kabsa! Afrika imefurahi sana
  8. Damaso

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia 2026: Afrika kuipa support Mexico leo ni zao la Xenophobia?

    Wajukuu wa Madiba wameshalowa
  9. Damaso

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia 2026: Afrika kuipa support Mexico leo ni zao la Xenophobia?

    Leo ndio ile siku! Kipenga cha ufunguzi wa Kombe la Dunia 2026 kinapulizwa, lakini huku mitandaoni mambo yamegeuka. Badala ya bara la Afrika kusimama nyuma ya Afrika Kusini (Bafana Bafana), Waafrika wameamua kuhamia Mexico jumla jumla! Mtandaoni kumechafuka haswa! Ukiingia Facebook na X...
  10. Damaso

    JamiiForums Tanzania Julius Mtatiro kwenye hili umefeli sana bro

    Katika mazingira ambayo vijana wengi wa Kitanzania wanahangaika kutafuta ajira baada ya kuhitimu vyuo vikuu, mjadala kuhusu elimu ya ufundi na elimu ya juu ni muhimu. Lakini kilichofanywa na mwanasiasa Julius Mtatiro si mjadala wa kujenga taifa — ni propaganda ya kisiasa iliyovuka mipaka ya...
  11. Damaso

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yakumbwa na aibu Nyankumbu -Geita

    🚮
  12. Damaso

    JamiiForums Tanzania Changamoto za Kunywa Vilevi Mitandaoni: Hatari ya Tonie Professor

    Yupo yule mchaga ndio ameingia mjini
Back
Top Bottom