Kama ulidhani Mwanza kuna mambo ya samaki tu, basi chukua na hii! Jiji la Mwanza limeingia kwenye kituko baada ya Mkurugenzi wa Halmashauri kutangaza usaili wa ghafla mnamo tarehe 27 kwa askari wote wa Jiji ili kubaini & "wasio na sifa."*
Hapo ndipo wakazi wa Mwanza na Viunga vyake waliposhika...
Hivi majuzi kumekuwa na minong’ono chini kwa chini kwenye korido za wasomi na mitandao ya kijamii. Watu wanahoji: "Kwanini teuzi za Makamu Wakuu wa Vyuo Vikuu (Vice Chancellors) hapa nchini zimekaa mrengo fulani wa kiimani?
Mbona pale SUZA pamejaa kanzu , na kule SAUT kumejaa mapadre na...
Mwanafunzi wa darasa la tatu mwenye umri wa kati ya miaka nane hadi kumi, mkazi wa Mtaa wa Lilungu katika Manispaa ya Mtwara Mikindani, amefariki dunia baada ya kunyongwa na watu wasiojulikana.
Tukio hilo limetokea jioni ya Juni 21, 2026, ambapo kwa mujibu wa mashuhuda, mtoto huyo...
Leo ndio ile siku! Kipenga cha ufunguzi wa Kombe la Dunia 2026 kinapulizwa, lakini huku mitandaoni mambo yamegeuka. Badala ya bara la Afrika kusimama nyuma ya Afrika Kusini (Bafana Bafana), Waafrika wameamua kuhamia Mexico jumla jumla! Mtandaoni kumechafuka haswa!
Ukiingia Facebook na X...
Katika mazingira ambayo vijana wengi wa Kitanzania wanahangaika kutafuta ajira baada ya kuhitimu vyuo vikuu, mjadala kuhusu elimu ya ufundi na elimu ya juu ni muhimu. Lakini kilichofanywa na mwanasiasa Julius Mtatiro si mjadala wa kujenga taifa — ni propaganda ya kisiasa iliyovuka mipaka ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.