Recent content by DAMAS EDWARD

  1. DAMAS EDWARD

    43 Samsung J5100 Picture Problem

    Kwa wale wanaopendelea kufahamu kiundani zaidi kuhusu matatizo ya Tv, fuatilia video hiyo youtube.
  2. DAMAS EDWARD

    43 Samsung J5100 Picture Problem

    Nimeirudisha dukani kaka, nasubiri majibu kutoka kwao.
  3. DAMAS EDWARD

    43 Samsung J5100 Picture Problem

    Nilirudisha Dukani, imerudi Samsung, nasubiri majibu kutoka kwao. ila inavyoonekana tv nyingi kubwa za model hiyo zinarudishwa cz niliwapigia cm juzi wakasema imerudi jana nyingine so sina imani na hizo tv tena, cjui kama watakubali ila nataka LG
  4. DAMAS EDWARD

    43 Samsung J5100 Picture Problem

    Sijajua inawezekana cz sio muangaliaji sana wa tv, kuangalia labda weekend tu so sijui shida itakua nn mkuu
  5. DAMAS EDWARD

    43 Samsung J5100 Picture Problem

    Asante kwa ushauri, picha nyeusi inasaidia pia?
  6. DAMAS EDWARD

    43 Samsung J5100 Picture Problem

    Ina warrant bado miezi mitatu, hizi tv za samsung huwa zna haya matatizo?
  7. DAMAS EDWARD

    43 Samsung J5100 Picture Problem

    Hello Wana JF Nina Tv ya samsung inch 43, imeniletea langi mbili tofauti, tatizo litakua nini?
  8. DAMAS EDWARD

    Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

    Hello wana JF Nina idea ya kuanzisha biashara ya stationary (vifaa vya jumla jumla), kwa wazoefu wa hii biashara naombeni ushauri, niandae sh ngapi kama mtaji? ondoa gharama za nyumba na thamani za ndani kama meza, shelf na vifaa vingine kama computer, copy, scanner, printer. yani naitaji...
  9. DAMAS EDWARD

    Biashara ni kipaji?

    thaks! walau nimepata idea about born and made, kama kuna idea tofauti kuhusu hili tunaomba mchango wenu.
  10. DAMAS EDWARD

    Biashara ni kipaji?

    Kuna hoja tofauti kuhusu uwezo wa kibiashara walionao baadhi ya wafanyabiashara,kwa anayefahamu hili.... Ningependa kufahamu uwezo mkubwa wa kibiashara walionao baadhi ya wafanyabiashara wakubwa nchini Tanzania na East Africa kwa ujumla, Je, ni uwezo binafsi au kuna njia mbadala walizotumia...
  11. DAMAS EDWARD

    TCU SELECTIONS OUT "once and for all"

    Wanafunzi wote wa form 6,TCU wametoa matokeo,nenda kwenye profile yako angalia umechaguliwa wpi!
Back
Top Bottom