Recent content by DalaliOnline

  1. DalaliOnline

    TUNABADILI MAWAZO YAKO KUWA SOFTWARE.

    Ungetupa requirement zako, na unahitaji software ya aina gani? halafu tutaongea kutokea hapo!
  2. DalaliOnline

    TUNABADILI MAWAZO YAKO KUWA SOFTWARE.

    tume develop hii classified Ads website. www.dalali.co, sasahivi tumetoka kudevelop reporting software ya puma petrol stations, ukitaka presentation utapata bure.
  3. DalaliOnline

    Tunabadili mawazo yako kuwa software

    TUNABADILI MAWAZO YAKO KUWA SOFTWARE. Nyumbani creative ni kampuni yenye team iliyojitosheleza katika kupokea mawazo yako ya mfumo taarifa (data system) wa kazi zako na kuziweka katika mfumo wa programu za kompyuta (software). Walengwa wa kubwa katika kazi zetu ni wale wanao tumia mfumo wa...
  4. DalaliOnline

    TUNABADILI MAWAZO YAKO KUWA SOFTWARE.

    Nyumbani creative ni kampuni yenye team iliyojitosheleza katika kupokea mawazo yako ya mfumo taarifa (data system) wa kazi zako na kuziweka katika mfumo wa programu za kompyuta (software). Walengwa wakubwa katika kazi zetu ni wale wanao tumia mfumo wa makaratasi katika kuhifadhi data. Lakini...
  5. DalaliOnline

    Nini kifanyike kuwawezesha Wanasayansi wazawa?

    Anarudia yale yale mambo ya bilioni kila mkoa
  6. DalaliOnline

    Nini kifanyike kuwawezesha Wanasayansi wazawa?

    Ni kweli, ila pia tunahitaji technical people kawasababu hata ukianzisha kiwanda leo, kuwapata watu technical ni a problem. mf. juzi kuna kiwanda cha cement hapa nchini imebidi waajiri wafanyakazi wenye diploma ya mechanical na electronics kutoka India kwasababu kila mtanzania anaekuja mwenye...
  7. DalaliOnline

    Nini kifanyike kuwawezesha Wanasayansi wazawa?

    Kuna siku nilisema hii mikopo inaotolewa vyuoni halafu mtu anatoka chuo hana kitu anasubiri ajira for years na hapati, mikopo hii ingeenda veta na wakawasponsor hawa wanafunzi wanaoenda kusoma degree ambazo asilimia kubwa haziwasaidii sahivi tungekua na jamii ya tofauti sana.
  8. DalaliOnline

    Wataalamu wa ku upgrade android version

    Kuroot simu na kuapgrade sio idea nzuri siku zote maana zinakujaga kusumbua. kama samsung hawajaiachia hiyo version kwenye updates za simu then mara nyingi inakua na risks nyingi mf. Simu kuisha charge haraka, wireless kugoma kuwork, network kusumbua, na warranty inakua violated nk. but kama...
  9. DalaliOnline

    Mwanafunzi UDOM atengeneza mtandao wa kijamii wa 2daySky

    Angalia na hii classified ads website www.dalali.co ya mwanafunzi wa St Joseph.
  10. DalaliOnline

    TCRA, kampuni za Google, Facebook, Whatsapp, Instagram zakwepa kodi ya mabilioni Tanzania

    Sio rahisi kama unavyodhani. marekani yenyewe inashindwa kuwabana hawa jamaa, kuna kitu inaitwa corporate inversion. kampuni nyingi zinachofanya ni kuhamisha makao makuu yao kutoka marekani kwenda nchi kama Ireland wenye kodi ndogo ya 12.5% ukilinganisha na kodi ya marekani ambayo ni 35%. So...
  11. DalaliOnline

    Kenyan & Tanzanian Surburbs

    Dar-es-salaam
Back
Top Bottom