Na kuna mshikaj mmoja alivaa mabomu akaenda makao ya jwtz Dodoma , akaenda na vyeti , kufika getin akatarget mlinzi mmoja akaomba kuongea nae ... Kamwelezea matatizo yake akamuomba kama atapendezwa amruhusu akamuone afande wa utumishi .... Yule mwana alifanikiwa kupata mtu ambaye alimpambania...
Wapambanaji msikate tamaa , nlifanikiwa kuingia kwenye majeshi haya Kwa mbinde lakin nilifanikiwa ..... Na ukipata mbanga inakua kitonga zaidi . Kama juzi kuna Mzee mmoja alikua anatafuta vijana kutoka familia zenye maisha magumu na waliosoma either diploma o degree , idadi ya watu 30...
Walinionesha hii pcha nkawaamini [emoji28] , ... Nkawaambia hyo 4.8m sina cash hapa , wakanshauri nkauze mbao za mzee nije niwape , eti nkishakua tajiri ntamrudishia mzee mbao zake [emoji28].. dah ningekua nalia sahiv
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
HELA YA CONSULTATION HACHUKUI DAKTARI ILE NI KWA AJILI YA HOSPITAL KUWEZA KUJIENDESHA NA KUMLIPA MSHAHARA YULE DAKTARI ANAYEKUHUDUMIA .
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Natafuta kijana wa kiume anayejua kutunza ng'ombe. Awe anajua kukamua maziwa pia
Mahali: Bagamoyo
Mshahara: 70000 kwa mwezi + atapewa chumba cha kukaa + atapewa chakula.
Kama unaitaji nchek 0710660264
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.