Mkuu usiwe mvivu wa kufikiria,usipende kufuata kauli za wenzako eti kisa baba anajuta kuoa na wewe ujute maisha ayapo hivo ata Mwenyezi Mungu aliweka ndoa akiwa na maana yake,kaa utulize akili kwa kila jambo unalotaka kufanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.