Recent content by Dahmer

  1. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kwanini CCM Morogoro wamepeleka mkutano wa SAMIA viwanja vya Tumbaku?

    Acha uzwazwa wakitumia viwanja mnasema wanaharibu, wakitumia viwanja vya nje mnaanza conspiracy.
  2. D

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polepole: Agosti 29, 2025 nitafafanua mambo kuhusu Kifo cha Magufuli; Rostam na Kikwete, Kashfa mbalimbali, deni la Taifa na wezi wanakoficha pesa

    Sisi tunataka atuambie wapi alipo Ben Saanane. Hayo mengine ni kama story za ma ex tu.
  3. D

    JamiiForums Tanzania Qatar Yaingia Mikataba ya Uwekezaji (MoU) na Nchi 5 za Afrika-Botswana, Zambia, Burundi, DR Congo & Zimbabwe ya $81 bilion (Tshs Trilioni 200)

    Nchi hii imejaa wajinga sana, watu waliokosa utaifa wenye roho mbaya na chuki kubwa mioyoni mwao. Wanapokea everything negative, na wanabeza anything positive. Leo wanamshambulia huyu, kesho wanamshangilia. Hawana principles.
  4. D

    JamiiForums Tanzania INEC: Kuhusu upotoshaji wa kuunganishwa kwa mfumo wa uchaguzi na mifumo mingine

    Polepole ni sawa na disgruntled spouse.
  5. D

    JamiiForums Tanzania Walimu wa Masomo ya Sayansi kulipwa maradufu ya Walimu wa masomo ya Lugha+ Sanaa

    Hii ndio kada inayoumizana na na hawapendani zaidi.
  6. D

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Bilioni 1.9 zaibwa CHADEMA, Wingu zito latanda. Wabunge wagoma kuchangia chama

    Hebu nifafanulie, hizo taarifa no kwamujibu wa taasisi gani ya ukaguzi?
  7. D

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Bilioni 1.9 zaibwa CHADEMA, Wingu zito latanda. Wabunge wagoma kuchangia chama

    Sasa jamaa anafanya kazi yake halisi
  8. D

    JamiiForums Tanzania AliKiba: Sijaachana na mke wangu bali nimempa ruhusa ya kurudi kwao

    Bravo Ali, huo ndio uanaume ndoza Zina changamoto lakini mwanaume wa kweli ni yule anayeweza kutatua changamoto hizo
  9. D

    JamiiForums Tanzania Mo Dewji acha kuivuruga Simba. Hiyo ni Klabu ya wanachama, hautafanikiwa kwa lolote

    Yaani unataka timu zetu ziendelee kuongozwa kizamani. Usipumbazwe na hao wajanja wa mjini labda huwajui
  10. D

    JamiiForums Tanzania Kitachompata Iran, kitaweka Historia

    Katika vitu ambavyo madola ya kifalme ya kiarabu yanachoogopa ni Vita hiyo, Saudia hawawezi kuruhusu Hilo wanajua kuwa minyororo waliyowafunga wananchi wao kwa miaka mingi itakuwa ni mwisho.
  11. D

    JamiiForums Tanzania Mo Dewji acha kuivuruga Simba. Hiyo ni Klabu ya wanachama, hautafanikiwa kwa lolote

    You are very right mirija imejatwa wajanja wajanja wote watatoka nduki
  12. D

    JamiiForums Tanzania Aishi Manula anapewa sifa asizostahili! Hawezi kuifikisha popote Simba na Taifa Stars

    Kuna timu nzuri Kama Zambia hazikwenda. Tulistahili. Sisi watanzania ni watu wa mob psychology. Manula ni mmoja wa makipa wazuri waliopo sasa
  13. D

    JamiiForums Tanzania Aishi Manula anapewa sifa asizostahili! Hawezi kuifikisha popote Simba na Taifa Stars

    Manula kaifikisha Stars AFCON Kaseja kawahi kaifikisha wapi?
  14. D

    JamiiForums Tanzania Story ya kurudi kwa Juma Kaseja, Aishi Manula na Rais wa Dar

    Wewe unajua Mpira wa miguu, umechambua vizuri. Mashabiki wengi wa Tanzania Wana mihemko na wafuata upepo.
Back
Top Bottom