Habari za majukumu wakuu, kama kichwa Cha habari kinavyojieleza naombeni Kwa mtu mwenye MAWASILIANO, namba za simu au hata email ya kumpata Dkt. Msonde anisaidie nna shida personal ya kumweleleza, maana naona moyo wangu utapasuka, nsaidieni ndugu, kama unayo plse nitumie pm yangu nimtafte...
Mimi asponirudishia pesa yangu atakuja kusimulia maishani mwake nmemwambia Kwa meseji ila haski kunijib mwizi huyu hafai, anajifanya mtu wa swala kumbe shwetani tu
Habari wadau, hivi karibuni natarajia kusafiri kwenda Mwanza kikazi nikitokea Tanga, je ni gari gani zuri, na je USAFIRI upo wa moja kwa moja Hadi MWANZA? au Kuna kuunga unga safari, nsaidieni mana sina uelewa wa njia hiyo ndo Kwa mara ya kwanza, nawakilisha,.
M pia walinikatia nkawasiliana nao wakanieleza sababu kuwa nlikuwa sjalipia Kwa mda mrefu so wakawa wameupdate ving'amzi hivo na kuviondolea free channels Hadi ulipie kifurushi chochote kuanzia Cha elf 15 nkafanya hvo,baada ya kuisha kifurushi wakazkata ila baada ya kuwasiliana nao wakzrdisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.