Recent content by dafuzima

  1. dafuzima

    Naomba mawasiliano ya kumpata Naibu Katibu Mkuu TAISEMI Charles Enock Msonde

    Sawa Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
  2. dafuzima

    Naomba mawasiliano ya kumpata Naibu Katibu Mkuu TAISEMI Charles Enock Msonde

    Sawa Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
  3. dafuzima

    Naomba mawasiliano ya kumpata Naibu Katibu Mkuu TAISEMI Charles Enock Msonde

    Habari za majukumu wakuu, kama kichwa Cha habari kinavyojieleza naombeni Kwa mtu mwenye MAWASILIANO, namba za simu au hata email ya kumpata Dkt. Msonde anisaidie nna shida personal ya kumweleleza, maana naona moyo wangu utapasuka, nsaidieni ndugu, kama unayo plse nitumie pm yangu nimtafte...
  4. dafuzima

    Feisal umemalizana na uongozi bado ujamalizana na mashabiki na wanachama wa yanga wenye hasira kali juu yako

    Mimi asponirudishia pesa yangu atakuja kusimulia maishani mwake nmemwambia Kwa meseji ila haski kunijib mwizi huyu hafai, anajifanya mtu wa swala kumbe shwetani tu
  5. dafuzima

    Za ndani kabisa kuhusu sakata la Fei Toto

    Yaaan Mimi anilipe pesa zangu mwizi huyo nmeapa Leo atakachokipata atasimulia
  6. dafuzima

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nataka kuhamia halmashauri ya magu mi nko ilemela kama unahtaji njoo inbox
  7. dafuzima

    Usafiri kutoka Tanga hadi Mwanza

    Habari wadau, hivi karibuni natarajia kusafiri kwenda Mwanza kikazi nikitokea Tanga, je ni gari gani zuri, na je USAFIRI upo wa moja kwa moja Hadi MWANZA? au Kuna kuunga unga safari, nsaidieni mana sina uelewa wa njia hiyo ndo Kwa mara ya kwanza, nawakilisha,.
  8. dafuzima

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    M pia walinikatia nkawasiliana nao wakanieleza sababu kuwa nlikuwa sjalipia Kwa mda mrefu so wakawa wameupdate ving'amzi hivo na kuviondolea free channels Hadi ulipie kifurushi chochote kuanzia Cha elf 15 nkafanya hvo,baada ya kuisha kifurushi wakazkata ila baada ya kuwasiliana nao wakzrdisha...
  9. dafuzima

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Nawashukuru sana startimes kwa kunirdishia free channels,
  10. dafuzima

    Startimes wameondoa 'free channels'

    Alifanyie kazi maana huu utakuwa n ubaguzi ssa
  11. dafuzima

    Startimes wameondoa 'free channels'

    Yaaaan mambo ya hovyo
Back
Top Bottom