Mi mwenyewe nilitaka nipite lakini yakanishinda ikabid niseme ako kastory japo kidogo ili watu wajue jamaa alipotokea mashauzi yamemzidi jamaa mpaka watu wanamchukia sasa
Huyo domo asijishaue mbele za watu bana alaah! Kwani mbona alikua analala guest ya buku8 pale sinza kumekucha inaitwa (elizabet lodge) walipokua wanakaa machangudoa wa ambianc, tena na yeye ndomo alikua anaishi pale guest na dem mmoja wa ki'tanga anaitwa tuti na huyo tuti ndio aliemtoa ndomo...
Wangu unamineno mweee... Mi siwez kubishana na ww ata kama nakudai itabid niwe mpole tu tena na tarehe ya kuja kudai unipangie mwenyewe, maana nikija kudai kwa pupa ntachezea michambo mpk ntachizika. Au ntasamee tu maana mmh!
Kwani uo kaimba domo??? Si ndo kishatunga tena au? Usiwe papara soma utunzi vizur aisee. Roho zinawauuuuuuuma wenyewe team tandale mweee mbona kazi mnayo mwaka huu kwa kuumaliza vby, kama nakuona vile unavosoma hii txt yangu unataman unifanye nini sijui hahahahaaa... Pole eeeeh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.