Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,002
- 72,284
E bana kuna comment yako moja ile umesema tangazo tangazo kila nikiitafuta nataka nikuongezee like siioni, au mods wameitoa. Yaani lile ni bandiko la wiki, kila nikiifikiria nashindwa kuamini kama we umepinda kiasi kile.
Hhhhhaaaa ni dawa kwelii kuna watu wameitumia wamefanikisha,unajua k ikitema, au ukionekana unaachwa achwa,au mwanaume hakujali jichunguzew maana uzima wa mwanamke ni K,au siooo