Recent content by dadoliz

  1. D

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    mkuu, naomba specification za latest Samsung 50" uliyo nayo kama vile resolution, HDMI na USB port ni ngapi etc. Bei yake na ni Egypt, South Afrika, Korea au Taiwan? Pia naomba ushauri kati ya Samsung na LG ipi unashauri zaidi kwa uzoefu wako wa sokoni na matumizi kama bajeti inaruhusu?
  2. D

    Mbwana Samatta asajiliwa Fenerbahce ya Uturuki

    Mbwana Samatta Akitambulishwa Mazoezini Tazama link: Mbwana Samatta ilk idmanına çıktı! İşte o anlar...
  3. D

    Biashara zangu 5 za wakati wote kwa hapa Dar es Salaam

    Controla naomba uni pm mdau ili nipate mawasiliano, nahitaji muongozo tuinuane.
  4. D

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Wakuu mliotangulia kumiliki TCL 55" naombeni uzoefu wenu kuhusiana na ubora wa TV, uimara, umri wa MAISHA yake na cha muhimu zaidi kwangu ubora wa picha. Nataka kushuka kwenye Samsung nipande TCL. Nawasilisha.
  5. D

    Tutafakari kazi za chuma kilicholetwa na JK, Je kimekidhi matarajio.

    Najaribu kuwaza kwa sauti, wote tunajua kazi za chuma kwenye ujenzi, kwa mtazamo wangu chuma kimefanya yaliyotarajiwa kuweka imara jengo na chochote kinachojaribu kudhoofisha jengo kikikutana na chuma ni lazima kisambaratike kwa manufaa ya jengo letu. Asante Rais mstaafu JK kwa kutuletea chuma.
  6. D

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    Master tupia Coaster au Nissan Civilian ya biashara, bajeti 15M kushuka chini
  7. D

    Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

    Daah! wewe kweli wa kimataifa, kwa uelewa wangu mdogo huwa najua kanuni ya first emergency responder inasema "Your safety is first, so leave the scene if you are at risk, don't be the next victim.
  8. D

    Eti, WiFi ya Dreamliner inapatikana kwenye injini? Mbona ni ukarabati wa injini au ndio service?

    Ushabiki usio na maana ukizingatia tayari dude lina piga kazi. SIMBA WAWASILI MWANZA TAYARI KUKIPIGA NA MTIBWA, BOCCO AREJEA - SALEH JEMBE
  9. D

    Serikali: Kila mtanzania atapaswa kumiliki laini moja ya simu, ukitaka ya pili unaomba TCRA

    Tatizo letu kubwa Watanzania ni kujadili mambo kwa upeo wetu jinsi tunavyofahamu badala ya kupata elimu au maelezo kutoka kwa wahusika TCRA. Mimi nimejaribu kupata muda na kufuatilia hili suala limekaaje kutoka kwa wahusika. TCRA inaongelea umiliki wa line zaidi ya moja ya mtandao mmoja na sio...
  10. D

    Serikali: Kila mtanzania atapaswa kumiliki laini moja ya simu, ukitaka ya pili unaomba TCRA

    Tatizo letu kubwa Watanzania ni kujadili mambo kwa upeo wetu badala ya kupata elimu au maelezo kutoka kwa walengwa. TCRA inaongelea umiliki wa line zaidi ya moja ya mtandao mmoja na sio umiliki wa line zaidi ya moja za mitandao tofauti. Suala ni kwamba unakuta mteja mmoja wa Voda ana line zaidi...
  11. D

    Ufafanuzi wa TCRA kuhusu kuondoa chaneli za runinga zinazotazamwa bila kulipia (FTA) kutoka ving'amuzi vya Azam, Multichoice na Zuku

    Maelezo ya TCRA yanaonesha kutulinda watumiaji wa FTA channels ili tuzipate bure. Kama king'amuzi kimeisha basi wakate za wageni ila za nyumbani zibaki hata kama mtu kashindwa kulipia subscription channel's.
  12. D

    Asante Rais wetu JPM kwa kukomesha ukiritimba kuonesha Kombe la Dunia

    Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt. JPM, kwa niaba ya wapenzi wa mpira wa miguu nchini, napenda kutoa shukrani za dhati kwa kutuletea uhondo wa kombe la dunia Juni 14 - Julai 15 tukiwa majumbani mwetu kupitia Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kwa kushirikiana na TV1. Kwa...
  13. D

    Kabla ya kuagiza mapangaboi vitu vidogo kama hivi vingeshughulikiwa

    http://globalpublishers.co.tz/miaka-55-ya-uhuru-watanzania-vumilieni/
  14. D

    Mchungaji Msigwa sasa aja na hoja ya kumwondoa Naibu Spika

    Swali: Amepata wapi hayo wakati hakuwemo bungeni?
  15. D

    Mchungaji Msigwa sasa aja na hoja ya kumwondoa Naibu Spika

    By Sharon Sauwa, Mwananchi; ssauwa@mwananchi.co.tz Dodoma. Zikiwa zimepita siku kadhaa tangu wabunge wa Ukawa kuanza kususia vikao vinavyoendeshwa na Naibu Spika, Dk Tulia Ackson, mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amewasilisha hoja ya kumwondoa madarakani kwa madai ya...
Back
Top Bottom