Kampeni ni utaratibu tuliojiwekea... Kwa kweli huku Sombetini hatukuwa na sababu maana diwani keshajulikana. .......Kamanda Ally Bananga........Kwa Arusha hii "Ccm ni chama cha upinzani" CHADEMA ndo chama tawala. Watupishe Sombetini kwetu
Hawa jamaa( kijani) Hawana tofauti na nyani yasemekana nyani walitamani kujenga nyumba kama sisi wanadamu. Ila hawakuwa na uelekeo.ikawa vikao kila siku hadi leo nyani anaishi kwenye miti tuuu ( NYANI HADI WAMEOTA UGOKO SEHEMU YA NYUMA )Vikaoo vingiiii toka 1950 hadi leo ujenzi gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.