Recent content by dadamzuri

  1. D

    Madaktari wapigwa changa la macho na serikalii!! Mgomo mwingine wanukia

    Waache viongozi wakatibiwe nje! Hawajui yaliyomkuta Bingu. Emergency ikitokea hawafiki popote!
  2. D

    IGP MNAMWOGOPA AFISA Vicky Mwamkuzi ....

    Ni kweli! Tumekuwa wepesi wa kushabikia vitu siku hizi! Kuua ni rahisi kiasi hicho? Huyo kijana alikuwa anadai mamilioni mangapi mpaka owe ni rahisi kulipa kundi la wauaji, kumhonga IGP mpaka awe tayari kupoteza kazi na heshima yake na huyo mama kuwa tayari kufungwa au kuuawa! Tumwogope Mungu...
  3. D

    Dr BANA on EATV anasema wabunge nao wapigiwe kura ya kutokua na imani nao

    Anaweza akawa pro system lakini haiondoi ukweli academically ni mzuri ndio maana yuko hapo!
  4. D

    Tabia chafu ya TBC

    Mimi wiki sipati tbc kupitia dstv haionekani. Naipata kwa antenna ya kawaida. Ila nakubaliana na hoja kuwa program zake zimeshuka hadhi na ziko kisiasa kweli!
  5. D

    Unam-treat FAIRLY house girl wako?

    Wenzangu mmechangia vizuri! Jambo moja ningependa tuliangalie na kulikubali kuwa kazi za ndani ni kazi kama nyingine. Hivyo jukumu la mwajiri ni kuhakikisha mwajiriwa anapata mazingira mazuri ya kazi na mwajiri anafanya kazi kwa uaminifu! Lakini tatizo linatokea pale mwajiri anapoona kuwa...
Back
Top Bottom