Unene wa kuzaliwa na kurithi wote twaita unene.
Unene wa kumnenepesha na wangu wote twaita unene, lakini kwa nini useme mie hunitaki?
Ilhali mkeo umemnenepesha na kawa kama mimi?
Umekurupukia swali ambalo hujaulizwa wewe.
Anyway, huyo Mkeo/Mpenzi wako uliempata enzi hzo alikuwa mchafu, nawe pia ulikuwa mchafu ndo mana mkaendana.
Ndo mana waki-comment nawauliza maswali wanakimbia.
Wavute picha miaka 10 nyuma kabla wake zao hawajazaa, walikuwa na maumbo gani?
Tatizo wanaume wengi wanafata mkumbo, akianza mmoja kwenda against na mada, basi woote watakaofuatia watamsapoti wa awali, hata kama Ukweli anaujua.
Na nina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.