Ilikuwa jana mida ya jioni,
Ebwan Mchanganyiko ulikuwa hivii
1. Kulikuwa na mvua kubwa sana jana uck, napoishi naishi na wapangaji watatu na wote ni single. Mwanaume ni mm tu katika vyumba hivyo,
2. Wakati mvua yanyesha nilikuwa nachemsha Chai yangu ya maziwa, baada ya kumaliza nikaihifadhi...
Sema kwel bwanaaaa,, nyoosha vizuri maelezo kuwa umemtongoza, lakn baada ya yeye kuwa mkweliii kuwa Ana watoto wawili wataka Ushauri..
Ushauri wangu UMUOE ..
mtalamu wa mapenz kutoka marekani bwana sir Henrik Finoh aliandika kwenye kitabu chake kiitwacho LOVE IS BLIND cha 1995 ukurasa wa 145 kuwa mapenzi yana formula... Formula yake imepatikana bwana...
1.pesa
2.pesa
3.pesa
4.pesa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.