kumbuka kama ulivyofanya utafanyiwa, umemla wa mwenzio na wako ataliwa kwa njia yoyote ile, sehem yoyote na muda wowote. Kaa tayari na usikasirike yakikukuta
Mbona hata wadada hawapend kufanya hayo but nyinyi ndio sababu mfano
1. Kabla ya ndoa ulikua unatoa hela ya shoping but sasa unadai huna, je niipate wap?
2. Kabla ya ndoa tulikua tukitembea shirika kumbi tofaut but sasa unajifany uko bize.
3. Kabla ya ndoa ulipoteza mda mwing kupiga stor na...
MI NAPITA TU BUT NIMESIKITISHWA NA HII POST. NAAMINI WEWE NI MFUASI WA MOJA KATI YA DINI MBILI KUBWA (ISLAM OR CHRISTIAN). Kama jibu ndio, dini hizi zote zinapinga zinaa. Kwa hio wewe jiangalie kuridhisha nafsi na kumridhisha MUNGU LIPI NI MUHIMU KWAKO?
Habari zenu wapendwa, mi ni mwanacham mpya, but kwenye hili naamini ni miujiza ya mungu tu, anatukumbusha uwepo wake kwan binadam tunajisahau. Asubuhi njema!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.