🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ngoja niishie hapa.
Pole sana bro, ulitakiwa kujua consequences za maamuzi ya kuoa single mother, but it's too late, jifunze kuishi nayo hakuna namna.
Kwamba wewe umeamua kujimilikisha mtoto wangu, brother ukweli mchungu kama umeoa single mother muombe Mungu hekima ya kuishi naye kama hujaoa tafadhali tafakari vyema.
Haki ya mzazi mwenza kuwa na access na mtoto wake (kwa upande wowote), kuanzia kumuona physical, mawasiliano na kuhudumia, kuanzia huduma ya lazima mpaka za lazima kama zawadi n.k.
Yaani mtoto wangu akae kwa mama yake ambaye ni mke wako, then wewe unizuie nisiwe na access na mwanangu, labda...
Mtoto akikaa kwa baba, utamkataza mama yake ambaye ndiyo mke wako asimjilie hali mtoto wake, na akikaa kwa mama yake utamzuia baba asimjulie hali mtoto wake, we umekua nani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.