Recent content by DA HUSTLA

  1. DA HUSTLA

    Kuna kazi wanaozifanya sijawahi kuelewa huwa wanaishi vipi

    Hizi story tunazijua na tumezichoka, acheni mambo yenu ya motivesheno tupeni siri ya utajiri.
  2. DA HUSTLA

    Kijana, don't settle with your agemate

    Natafuta Ajira wameanza kuja.
  3. DA HUSTLA

    Kijana, don't settle with your agemate

    Finance na fitness, deep sana hii.
  4. DA HUSTLA

    MIKOPO KWA WATUMISHI WA UMMA

    Sawa na 30% kwa mwaka, 240% kwa miaka nane, yaani unakopa 20m, unarudisha zaidi ya 68m (20m+48 interest+hidden cost like processing fee, bima etc), acha watumishi wawe maskini.
  5. DA HUSTLA

    Global Economy: Hali ya deni la dunia ilivyo mpaka sasa

    Kumbe France ni nchi inayoendelea.
  6. DA HUSTLA

    Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

    Ahaa kumbe inaweza kusogea hadi 1.5m kwa serikalini kwa level ya degree sio mbaya, japo kuna taasisi kadhaa ziko vizuri, ila kipato hicho ni kizuri kuliko kada nyingi kwa entry level.
  7. DA HUSTLA

    Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

    Ina maana baada ya makato ni kama 1.33m kama hudaiwi HESLB, ni posho gani unapata nje ya salary hata kama ni kidogo? Kwa chuo kama CBE.
  8. DA HUSTLA

    Tutorial Assistant: Nafasi bora ya kazi isiyojadiliwa

    Hii ni kabla au baada ya makato na kama ni kabla take home ni bei gani?
  9. DA HUSTLA

    Msaada: Nataka kwenda Ustawi wa Jamii, baba wa watoto ananisumbua huduma

    Story ya upande mmoja, si rahisi mtu kutelekeza damu yake, kuna namna.
Back
Top Bottom