Yaani miaka 5 unaishi maisha hayo hayo ya chumba kimoja, daladala, basic food.
Bei ya nauli ya daladala ni hiyo hiyo, kodi ile ile nyumba ile ile, chakula bei ile ile yaani wewe inflation haikuhusu kabisa?!
Ina maana huna familia na kuongezeka majukumu, yaani kila kitu kwako kimesimama?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.