Recent content by DA HUSTLA

  1. DA HUSTLA

    Mtumishi unayepokea mshahara 1.5m kwa mwezi unapanga na unamiliki usafiri wa gari, hawezi kutoboa maisha utastaafu unatumikishwa tu

    Kama anamudu makato na kulimiliki gari baada ya makto, acha akope tu, unajua mziki wa public transport wewe?
  2. DA HUSTLA

    Mtumishi unayepokea mshahara 1.5m kwa mwezi unapanga na unamiliki usafiri wa gari, hawezi kutoboa maisha utastaafu unatumikishwa tu

    Yaani miaka 5 unaishi maisha hayo hayo ya chumba kimoja, daladala, basic food. Bei ya nauli ya daladala ni hiyo hiyo, kodi ile ile nyumba ile ile, chakula bei ile ile yaani wewe inflation haikuhusu kabisa?! Ina maana huna familia na kuongezeka majukumu, yaani kila kitu kwako kimesimama?
  3. DA HUSTLA

    Msaada wa kiufundi: Gari kupoteza maji kila siku

    Fundi gani mzuri wa radiator hapa Dar?
  4. DA HUSTLA

    Choo cha kukaa ni uchafu tu, sasa unajisafisha kwa namna gani?

    Unakuta vyoo hivi wameweka bar, ofisi za umma n.k. huwa vinanikata kinoma...sijui huwa wanawaza nini?
  5. DA HUSTLA

    Mabraza wa Kariakoo na dili zao

    We jamaa umepambana sana
  6. DA HUSTLA

    Kwanini Serikali haiajiri Madaktari (MD) wakati kuna upungufu mkubwa, inaajiri CO (Clinical Officers) na manesi?

    Kuna uhusiano gani kwa mloganzila kuwa chini ya MUHAS, maana MNH si teaching hospital pia with advanced facilities?
Back
Top Bottom