Recent content by DA HUSTLA

  1. DA HUSTLA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umefaidika na nini baada ya kuoa mwanamke mpambanaji/mwenye kipato?

    Halafu wakiachana wanataka wagawane mali, kwamba walichuma pamoja. Hii sheria ya ndoa imekaa kitapeli sana.
  2. DA HUSTLA

    JamiiForums Tanzania Huu utaratibu wa kulazimisha mtu awe na majina matatu hata kama vyeti vyake vya taaluma vinayo mawili siyo sawa

    Salma Abdallah Mohammed, ni wangapi pia?
  3. DA HUSTLA

    JamiiForums Tanzania Kuongea kwa kuchanganya lugha kiswahili na Kiingereza, ni usomi au ujanja?

    Nimecheka kwa nguvu sana.
  4. DA HUSTLA

    JamiiForums Tanzania Educated TZ Immigrants in US in tough Situation

    Kwanini nirudi bongo in a first place?
  5. DA HUSTLA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wengi hufikiri Kila mwanaume aliwahi kutoa bikra wakati waliokutana na bikra ni wanaume 2 kati ya 10

    Aisee pole kwa kuolewa bila bikra.
  6. DA HUSTLA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wengi hufikiri Kila mwanaume aliwahi kutoa bikra wakati waliokutana na bikra ni wanaume 2 kati ya 10

    Wamewaacha wengine wadhani bikira ni myth, jamaa ni wabinafsi.
  7. DA HUSTLA

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wengi hufikiri Kila mwanaume aliwahi kutoa bikra wakati waliokutana na bikra ni wanaume 2 kati ya 10

    Economy sio kila kitu, yaani breath in breath out .... economy economy. What if mtu akiwa ana economy nzuri still aongelee economy tena.
  8. DA HUSTLA

    JamiiForums Tanzania Single Mothers wana haki ya kuwasiliana na Wazazi wenza. Kama hutaki ungeoa asiye na Watoto

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ngoja niishie hapa. Pole sana bro, ulitakiwa kujua consequences za maamuzi ya kuoa single mother, but it's too late, jifunze kuishi nayo hakuna namna.
  9. DA HUSTLA

    JamiiForums Tanzania Single Mothers wana haki ya kuwasiliana na Wazazi wenza. Kama hutaki ungeoa asiye na Watoto

    Kwamba wewe umeamua kujimilikisha mtoto wangu, brother ukweli mchungu kama umeoa single mother muombe Mungu hekima ya kuishi naye kama hujaoa tafadhali tafakari vyema.
  10. DA HUSTLA

    JamiiForums Tanzania Single Mothers wana haki ya kuwasiliana na Wazazi wenza. Kama hutaki ungeoa asiye na Watoto

    Unazungumzia single fathers wakati tupo kwenye jamii ambapo polygamy ni kawaida. Single mother na single father sio same, sawa mama?
  11. DA HUSTLA

    JamiiForums Tanzania Single Mothers wana haki ya kuwasiliana na Wazazi wenza. Kama hutaki ungeoa asiye na Watoto

    Haki ya mzazi mwenza kuwa na access na mtoto wake (kwa upande wowote), kuanzia kumuona physical, mawasiliano na kuhudumia, kuanzia huduma ya lazima mpaka za lazima kama zawadi n.k. Yaani mtoto wangu akae kwa mama yake ambaye ni mke wako, then wewe unizuie nisiwe na access na mwanangu, labda...
  12. DA HUSTLA

    JamiiForums Tanzania Single Mothers wana haki ya kuwasiliana na Wazazi wenza. Kama hutaki ungeoa asiye na Watoto

    Mtoto akikaa kwa baba, utamkataza mama yake ambaye ndiyo mke wako asimjilie hali mtoto wake, na akikaa kwa mama yake utamzuia baba asimjulie hali mtoto wake, we umekua nani.
  13. DA HUSTLA

    JamiiForums Tanzania Single Mothers wana haki ya kuwasiliana na Wazazi wenza. Kama hutaki ungeoa asiye na Watoto

    Naona upo kwenye deep sleep, yaani wewe kuwa mume wake ndiyo umnyime haki mtoto wa watu, basi sawa baba wa kufikia.
  14. DA HUSTLA

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Naona tayari
Back
Top Bottom