Sawa na 30% kwa mwaka, 240% kwa miaka nane, yaani unakopa 20m, unarudisha zaidi ya 68m (20m+48 interest+hidden cost like processing fee, bima etc), acha watumishi wawe maskini.
Ahaa kumbe inaweza kusogea hadi 1.5m kwa serikalini kwa level ya degree sio mbaya, japo kuna taasisi kadhaa ziko vizuri, ila kipato hicho ni kizuri kuliko kada nyingi kwa entry level.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.