Recent content by da debora

  1. da debora

    Wake zetu, wapenzi wetu huwa mnatufikiria je?

    duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu,hatari missed calls 900 na kitu dah
  2. da debora

    Jamani nimepost tangazo langu la kutafuta rafiki wa kiume ambaye badae atakuwa mchumba na hatimaye

    Jamani mimi nipo serious na hili lakini watu si wastaarabu,wewe unajua umeoa then unanitafuta na kutaka mahusiano na unanidanganya upo single,hatimaye ninasumbuliwa na wake zao tukianza tu kuchat ili tufahamiane,jamani siyo vizuri kuweni waaminifu katika ndoa zenu,na pia mwenzenu nipo serious...
  3. da debora

    Asanteni wana jamii kwani nimepata rafiki

    hapana jamani mie nipo jf 4va
  4. da debora

    Nitafurahi sana kama nitampata binti/mwanamke huyu!!

    mmh mie nimepata rafiki kwanza ,usijali utampata tu wapo humuhumu,kila la kheri
  5. da debora

    Asanteni wana jamii kwani nimepata rafiki

    Napenda sana kumshukuru Mungu na wanajamii kwa mchango wenu,japo kuna wengine walinikejeli,kunitania na wenye wema na mimi walinitia moyo,na wengi walijitokeza kuni pm na pia email,nawashukuru sana,mtakuwa marafiki zangu wa kawaida maana nimempata mmoja humuhumu,jamani msikate tamaa mnaoomba na...
  6. da debora

    Natafuta rafiki wa kiume ambaye badae atakuwa mchumba na hatimae niolewe naye

    nawaomba mnitumie kwa email yangu na sms iwe ya kawaida,mie kusoma pm sms kila nikijaribu nashindwa labda mnielekeze wa jamani
  7. da debora

    jamani nimepost tangazo langu la kutafuta rafiki wa kiume japo nilikosea nikaandika kiumbe,

    asanteni kwa kunijibu japokuwa nimetaniwa sana mimi nipo serious na katika vigezo vya ninae mhitaji nilisahau umri ni kuanzia 29 hadi 33 tu.pia nipo serious jamani,kwa wale walioserious ninaomba mnitumie taarifa na coctact zenu za ukweli kwa email yaani uanze na compose na iwe sms ya...
  8. da debora

    Natafuta rafiki wa kiume ambaye badae atakuwa mchumba na hatimae niolewe naye

    nielekeze jinsi ya ku pm maana ni mgeni humu jf
  9. da debora

    Natafuta rafiki wa kiume ambaye badae atakuwa mchumba na hatimae niolewe naye

    naomba unisaidie kunielekeza jinsi ya kum pm mtu
  10. da debora

    natafuta rafiki wa kiume ambaye badae atakuwa mchumba na hatimae niolewe naye

    mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28,mkristo nasali romani catholic na nimeokoka,elimu yangu ni shahada ya uzamili yaani masters,nina kazi nzuri tu na ni mwajiliwa wa selikali, rangi ni maji ya kunde,mwembamba wastani kg 56,urefu 150cm, mcheshi,mpole na mkarimu,jamani nipo serious sina mtu...
  11. da debora

    Natafuta rafiki wa kiume ambaye badae atakuwa mchumba na hatimae niolewe naye

    Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 28,mkristo nasali romani catholic na nimeokoka,elimu yangu ni shahada ya uzamili yaani masters,nina kazi nzuri tu na ni mwajiliwa wa selikali, rangi ni maji ya kunde,mwembamba wastani kg 56,urefu 150cm, mcheshi,mpole na mkarimu,jamani nipo serious sina mtu...
  12. da debora

    nimejiunga leo naomba mnielekeze jinsi ya kupost topic ili nami nitume.

    ningependa kuelekezwa jinsi ya kutuma post ya kutafuta mchumba na pia jinsi ya kutumia jamii forum
Back
Top Bottom